FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mimi naona Semedo contribution yake kule mbele inabidi iongezeke-yuko safety first approach kupita kiasi-J Alba kakabwa sana inabidi Semedo apande sana-but i dont see this-na mipira mingi anatoa pass za nyuma
Huo msitari wa mwisho (kurudisha/kupiga pasi nyuma) ndiyo udhaifu mkubwa aliokuwa nao hasa ktk game hii.
 
Ningependa sana hawa madogo (De Light&De Jong) waje kwa namna yoyote ile.
IMG_20181127_115221_210.jpeg
 
Huo msitari wa mwisho (kurudisha/kupiga pasi nyuma) ndiyo udhaifu mkubwa aliokuwa nao hasa ktk game hii.
Anatoa Pasi za nyuma sababu mbele yake kunakuwa hakuna mtu.Messi ndiyo winger wake lakini huwezi mkuta anacheza winger ya kulia, Mara nyingi kiungo wake ni Rakitic naye huyu ni mzito kwenda mbele hasa kupitia wing. Mara nyingi wakipiga na RW akiwa Dembele hizi back pass huwa hazipo. Huwawanapiga zile za kuoverlap.
 
Anatoa Pasi za nyuma sababu mbele yake kunakuwa hakuna mtu.Messi ndiyo winger wake lakini huwezi mkuta anacheza winger ya kulia, Mara nyingi kiungo wake ni Rakitic naye huyu ni mzito kwenda mbele hasa kupitia wing. Mara nyingi wakipiga na RW akiwa Dembele hizi back pass huwa hazipo. Huwawanapiga zile za kuoverlap.
Nimekupata vizuri sana Mkuu!!!
 
Anatoa Pasi za nyuma sababu mbele yake kunakuwa hakuna mtu.Messi ndiyo winger wake lakini huwezi mkuta anacheza winger ya kulia, Mara nyingi kiungo wake ni Rakitic naye huyu ni mzito kwenda mbele hasa kupitia wing. Mara nyingi wakipiga na RW akiwa Dembele hizi back pass huwa hazipo. Huwawanapiga zile za kuoverlap.
Hapa sijakuelewa mpira ukiwa kati tayari J Alba yuko deep inside enemy territory likewise Semedo has got speed naye inabidi awe mbele anasubiri mpira
 
Hapa sijakuelewa mpira ukiwa kati tayari J Alba yuko deep inside enemy territory likewise Semedo has got speed naye inabidi awe mbele anasubiri mpira
Unajua Alba kamuassist sana Messi wakati litakiwa Messi Awe assisted sana na Semedo. Na siyo kwamba Semedo hawezi kushambulia ila Inatokea timu yetu inaegemea sana kushoto. Utakuta Alba ana Coutinho mbele yake, Messi yuko karibu na Suarez. Kama unacheki Mara nyingi Semedo yuko alone kule. Hata akikimbia au akiwa na mpira unakuta hamna mtu anaenda mbele kule.
 
Unajua Alba kamuassist sana Messi wakati litakiwa Messi Awe assisted sana na Semedo. Na siyo kwamba Semedo hawezi kushambulia ila Inatokea timu yetu inaegemea sana kushoto. Utakuta Alba ana Coutinho mbele yake, Messi yuko karibu na Suarez. Kama unacheki Mara nyingi Semedo yuko alone kule. Hata akikimbia au akiwa na mpira unakuta hamna mtu anaenda mbele kule.
Exactly, team yetu iko somehow overcrowded upande wa kushoto.
Hata Messi siku hizi hachezi kulia tena, tangu Iniesta aondoke Messi amekua akizama deep in the midfield na sometimes utamkuta upande wa kushoto.

Huko huko utakuta yuko Alba, yuko Coutinho pia. Ile overlaping inakua inamruhusu Alba kuingia deep in the enemy territorry, akijua kuna watu wa kumcover!

Meanwhile, Semedo anaweza kuddrible peke yake mpaka kwenye kibendera na akakosa mtu wa kumpasia. Wakati huo anajua hana cover up ya nguvu huko alikotoka, ndio maana anaamua kuplay it safe.

Semedo hua anatakata zaidi akiwa na Dembele, atleast hua wanapeana through balls na speed zao zinamatch.

Najua Jackline 1 anatamani kuona Semedo akiunda combo kama la Dani Alves, jamaa anao uwezo ila bado hana partner. Messi amehamia kati!
 
Exactly, team yetu iko somehow overcrowded upande wa kushoto.
Hata Messi siku hizi hachezi kulia tena, tangu Iniesta aondoke Messi amekua akizama deep in the midfield na sometimes utamkuta upande wa kushoto.

Huko huko utakuta yuko Alba, yuko Coutinho pia. Ile overlaping inakua inamruhusu Alba kuingia deep in the enemy territorry, akijua kuna watu wa kumcover!

Meanwhile, Semedo anaweza kuddrible peke yake mpaka kwenye kibendera na akakosa mtu wa kumpasia. Wakati huo anajua hana cover up ya nguvu huko alikotoka, ndio maana anaamua kuplay it safe.

Semedo hua anatakata zaidi akiwa na Dembele, atleast hua wanapeana through balls na speed zao zinamatch.

Najua Jackline 1 anatamani kuona Semedo akiunda combo kama la Dani Alves, jamaa anao uwezo ila bado hana partner. Messi amehamia kati!
what a superfine analysis?? Iko Bambaga Mkuu.
 
Observation yangu naona match nyingi za Barca tunashinda lakini kwa jasho-endapo tuta utalise na upande wa kulia we would be flying high
Sure, tunategemea sana upande wa kushoto kupita kiasi.

Nafikiri baada ya Roberto kuumia, Semedo na Dembele watakua frequent starters upande wa kulia.

Ngoja tuone watafanya nini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom