FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

daaaaaaah...................................................



kwanini lakini hawa watoto tuliwaachia wachezee sharubu
Capture.PNG
 
Sijawahi kubali Roberto kuwa fullback. Tulilia tunatafuta fullback. Tukampata Semedo halafu tunampiga bench. Betis walijua udhaifu wetu. wametusakama kule kulia vibayaa mno.
Kabisa Mkuu.
Ulikuwa uchochoro jana.
Semedo ni bonge la full back, sjui kwanini haaminiwi. Na uhakika kama angepata muda mwingi wa kucheza angefanya vizuri kupita alivyo sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom