FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Yeah, yupo kwa mkopo ila "Sky Germany" wanadai kuwa tayari kasha saini mkataba wa miaka 4 na BVB ili kujihakikishia kuwa anabakia hapo moja kwa moja kuanzia msimu ujao. Na kwamba, kama iko hivo Barcelona hatutakuwa na namna yoyote ya kuzuia uhamisho wake. Nimeikuta"Barcelona Live App" kama jinsi inavyosomeka hapa chini:-

"According to Sky Germany, the striker has already signed a four-year contract with Borussia Dortmund which ensures his permanent transfer for the next season. Barcelona, meanwhile, can do nothing to prevent this move, as soon as BVB activate Alcacer's €23m buyout clause".
Huko kunamfaa Zaidi,mfumo wa Barca kashindwa kuusoma
 
Yeah, yupo kwa mkopo ila "Sky Germany" wanadai kuwa tayari kasha saini mkataba wa miaka 4 na BVB ili kujihakikishia kuwa anabakia hapo moja kwa moja kuanzia msimu ujao. Na kwamba, kama iko hivo Barcelona hatutakuwa na namna yoyote ya kuzuia uhamisho wake. Nimeikuta"Barcelona Live App" kama jinsi inavyosomeka hapa chini:-

"According to Sky Germany, the striker has already signed a four-year contract with Borussia Dortmund which ensures his permanent transfer for the next season. Barcelona, meanwhile, can do nothing to prevent this move, as soon as BVB activate Alcacer's €23m buyout clause".
Du hako ka buy out kauongo kishenzi.
 
Nasikia kadembele kamezingua wamekapa adhabu hakachezi. Coutinho naye atakuwa nje wiki 2-3
 
Kitendo cha Messi kupona tu, hata mabeki nao sasa wanataka Messi ndio akabe!

Tunafungwa magoli ya kipuuzi kabisa kama watoto wadogo!

Anyway, this is Barca, acha nihifadhi maneno!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom