FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

right back amekuwa exposed sana-kuna midfield imekuwa haifanyi kazi sawasawa
 
Where is dembele

Dembele alitakiwa kuanza sababu anakaba na ana uwezo wa kufeed mipira ya madhara na uwezo wa kuoverload btn line ya midfield na beki, dogo Malcom hakabi kama King Messi matokeo yake Rakitic na Melo wanataka kutolewa kafara
 
Duuh!!! hii game mbona nashindwa kuisoma-yaani hapo kati utafikiri Betis wako 10
 
Kocha alitakiwa kubadili mfumo basi na si kufanya sub

4:4:2 au 3:5:2 au 3:4:3 zingesaidia
 
Hakuna anae cheza vzr, kocha sub hazieweki. Semedo ilibidi aiingie kwenye game hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom