DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,184
- 2,597
Game lini tena tupoze machungu?
Friday 23 Nov
Atletico M & Barcelona, saa 22:45
Game lini tena tupoze machungu?
Mtapigwa na AtleticoFriday 23 Nov
Atletico M & Barcelona, saa 22:45
Amin nakuambia atletco atapigwa kama mtoto mdogoMtapigwa na Atletico
Mtapigwa na Atletico
And the vice versa is true....Mtapigwa na Atletico
ATM huwa ni mchumba wetuMtapigwa na Atletico
Shukrani mkuu ila game itakua ngumu ukizingatia na ukuta wetu ulivyo wa biskutiFriday 23 Nov
Atletico M & Barcelona, saa 22:45
Shukrani mkuu ila game itakua ngumu ukizingatia na ukuta wetu ulivyo wa biskuti
AmenUsijali mkuu,tuko pamoja...nikweli game itakuwa ngumu, ila hope tutashinda
Shukrani mkuu ila game itakua ngumu ukizingatia na ukuta wetu ulivyo wa biskuti
Ambayo ni kesho hiyo Jmosi....Mkuu! Game itapigwa tarehe 24, saa 22:45
Messi ukimkaba ovyo ovyo na kwa kumapania ndio anakuumiza nyingi
Sijaelewa mfumo wa leo, Roberto atacheza wapiBarca XI Vs ATMView attachment 945244