FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kuna La-masia graduate wawili naowafahamu (Mark Bartra na Cristian Tello) jana wametuchezea sana, yaani pale kati kulikuwa hovyo. Wingers na beki zetu zilikuwa zimekufa kinyama.

Ukawa ni mwendo wa kaunta na magoli tu. Yaani jana tulicheza chini ya kiwango sana. Alafu pass ndefu naona hatuwezi, tumepoteza mipira sana jana. Daaah!!! Inasikitisha sana aiseeeh
daaaaaaah...................................................



kwanini lakini hawa watoto tuliwaachia wachezee sharubu
View attachment 930121
 
Bora hata mess Suarez amefanya nini zaid ya kuruka ruka. Sijui kwa nini kocha alimuuza beki kama Y. Mila na kuacha akina Lenglet, kiungo mzur kama Denis Suarez anaozea bench kweli?
Lenglet anajitahidi kama umemfuatailia tangu Umutiti aumie, sema jana tulikuwa very poor karibu kila idara (beki, mid, na wings pia)
 
Disappointment, sijui pepo gani liliingia... Nikawa namwona Dembele tu kwa mbali
Kuna La-masia graduate wawili naowafahamu (Mark Bartra na Cristian Tello) jana wametuchezea sana, yaani pale kati kulikuwa hovyo. Wingers na beki zetu zilikuwa zimekufa kinyama.

Ukawa ni mwendo wa kaunta na magoli tu. Yaani jana tulicheza chini ya kiwango sana. Alafu pass ndefu naona hatuwezi, tumepoteza mipira sana jana. Daaah!!! Inasikitisha sana aiseeeh
 
Sijui kwanini waliamua kumuuza Yeri Mina, jamaa ni Beki mzuri Sana
IMG_20181113_063225.jpeg
 
Mkuu, mfumo wa Barcelona unaweza kua mchezaji mzuri ila ukashindwa kuperfom.

Mwangalie hata Paco Alcacer, pale camp nou alikua anarukaruka tu. Uwezo wa kuendana na mfumo ni muhimu kwa Barcelona kuliko kiwango cha mchezaji.
Yeah, lazima awe na DNA za Barca vinginevyo lazima ambwele tu. Na akienda kwingineko lazima a-shine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom