FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,361
Kuna La-masia graduate wawili naowafahamu (Mark Bartra na Cristian Tello) jana wametuchezea sana, yaani pale kati kulikuwa hovyo. Wingers na beki zetu zilikuwa zimekufa kinyama.
Ukawa ni mwendo wa kaunta na magoli tu. Yaani jana tulicheza chini ya kiwango sana. Alafu pass ndefu naona hatuwezi, tumepoteza mipira sana jana. Daaah!!! Inasikitisha sana aiseeeh
Ukawa ni mwendo wa kaunta na magoli tu. Yaani jana tulicheza chini ya kiwango sana. Alafu pass ndefu naona hatuwezi, tumepoteza mipira sana jana. Daaah!!! Inasikitisha sana aiseeeh
daaaaaaah...................................................
kwanini lakini hawa watoto tuliwaachia wachezee sharubu
View attachment 930121