Umeona Psg walivyopumuliwa mpaka jamaa wamepata goli la kusawazisha, sahivi naona ndio wanadominate ila hali yao ilikua mbayaGame ya Napoli na PSG tam sana najuta kupoteza 45 za First half kuangalia game ya Barça ya upande mmoja
Naona wanamuamini kutokana na uwezo wake kwamba muda wowote anaweza kufanya kitu, ila ningekua mimi kocha natoa natia ndani ata MunirSijui kachoka. Ukiona anainama anashika magoti ujue pumzi inashida.
Dembele mbona kacheza vizuri sana,katengeneza chance nyingi za goli kajaribu mara kibao...labda kuna vitu vichache bado anakosa ila game ya leo namuona akiendelea kuimprove zaidi....afu sijui kwa nini suarez hampi pasi dembele nafasi nzuri mweisho wa siku anapoteza mipira....coutinho kacheza fresh sana ila suarez flop leodaaah!!!!!!! dembele anashindwa kabisa ku utilise speed yake
Yeah, yupo kwa mkopo ila "Sky Germany" wanadai kuwa tayari kasha saini mkataba wa miaka 4 na BVB ili kujihakikishia kuwa anabakia hapo moja kwa moja kuanzia msimu ujao. Na kwamba, kama iko hivo Barcelona hatutakuwa na namna yoyote ya kuzuia uhamisho wake. Nimeikuta"Barcelona Live App" kama jinsi inavyosomeka hapa chini:-jamani nauliza paco alcaser ameenda kwa mkopo dortchmund au mkataba kamili maana jana kamdhalilisha neur vibaya mnoo