Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 21,013
Alikuwa anakosamtu wa kulink naye. Ila wakiwa na Dembele wanaelewana sana.Semedo yupo vizuri sana pia angekua na maujuzi zaidi ya kutamba kwenye zone ya wapinzani eidha kufunga au kuassist angetisha zaidi