BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,334
- 8,813
Itarudi tu usihofu..Ubora wa vigogo wa LALIGA ndio ubora wa timu ya taifa Spain![]()
Spainwanasikitisha sana sasa hivi vigogo wote viwango vyao vimeshuka
Itarudi tu usihofu..Ubora wa vigogo wa LALIGA ndio ubora wa timu ya taifa Spain![]()
Spainwanasikitisha sana sasa hivi vigogo wote viwango vyao vimeshuka
Where on the earth is Malcom????Barca squad to face Sevilla today 20/10/2018 at Camp Nou View attachment 904649
Wanakazaga team ikikutana na mkubwa mwenzieR Madrid 0-2 levante
Half Time
R madrid 1-2 Levante
Full Time
El classico tutamla nyingi sana
And DenisWhere on the earth is Malcom????
Ni upepo mchafu tu mkuu unapita na huwa inatokea ila kusema kabisa eti zama zinapita sio kweliLa liga Champion contenders.
1. Atletico Madrid
2. Sevilla.
Huu ni msimu wa El chollo na Atletico Madrid yake baada ya real Madrid na Barcelona kushuka viwango. Laliga sasa si ya timu mbili tena ni zaidi ya 4. Yoyote yule kati ya hizi nne anaweza kunyanyua kwapa. Nimefurahia hii kitu kwa kweli. Zile falme mbili za Catalona na Madrid zinaanguka.
Atletico Madrid kwa miaka ya karibuni ilikuwa na timu nzuri lakini ilishindwa kushindana na Real na Barca kwa sababu ya ubora wa hivyo vilabu viwili.
Zama za kina barca na Madrid unaenda ikifika mwisho.
😀😀😀...ungeficha ujinga wako mkuu
Sure ni kidogo tu lakini wadau wanaliongelea tatizo kwa ukubwa mno yani kama ni nyau wao wanasema simbaKuna ups and down, lkn sio kuwa kiwango kimeshuka kwa kiasi hicho
Barca squad to face Sevilla today 20/10/2018 at Camp Nou View attachment 904649
Naamini matokeo ya El classico yatachangiwa sana na matokeo yetu ya leo usiku..R Madrid 0-2 levante
Half Time
R madrid 1-2 Levante
Full Time
El classico tutamla nyingi sana
Ndio mkuuHii ni official?
Saa 20:45 hivi ntawaletea kikosi cha kwanzaHii ni official?
Si kujua kama leo tunakipigaNaamini matokeo ya El classico yatachangiwa sana na matokeo yetu ya leo usiku..
Vp mkuu za kitambo?
Mkuu mkuu unaachaje kujua wakati leo tuna game ngumu sana?Si kujua kama leo tunakipiga
Sawa mkuu tutashukuru sanaSaa 20:45 hivi ntawaletea kikosi cha kwanza
Nashukuru Mungu kamanda..uko poa?Naamini matokeo ya El classico yatachangiwa sana na matokeo yetu ya leo usiku..
Vp mkuu za kitambo?
Barca 3-0 SevWe need to win todays game-if we concede first this gonna be an uphill job-Strikers must do their job-missing goals has been our undoing
Pia nashukuru Mungu niko sawa mkuuNashukuru Mungu kamanda..uko poa?