Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,474
- 206,014
Jamaa sijui ana shida gani tu ila uzuri anaaminiwa na asiombe watu wamchokeBarca ya sasa ni ku outscore opponents tu,cause mfumo wetu lazima adui atafika golini-Ingekuwa tuko usukumani ningesema Suarez kalogwa-haiwezekani mpira ukatae kuingia golini-hizi chance punde akianza kuzi convert itakuwa raha tupu