FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

valencia walisha jua wakifanya mchezo messi atawapiga cha 2 wakaona bora tu wapaki bus tunawasubiri camp nou waje kupokea nyingi
 
Screenshot_20181007-235536.png

Hiyo form ya Sevilla ni hatari sana. Cheki na magoli yao. Hawa jamaa ni serious contender msimu huu.
 
Tunakosa plan nyingine za kutafuta magoli, vipi kama tukicheza tena na timu nyingine nayo ikalinda kama walivyofanya Vallencia tutatoa sare tena au kufungwa tu
 
huwezi kumuweka bench dembele hadi dakika 80 ndio eti unamuingiza halafu eti unamtoa coutinho unamuacha suarez daah yaani huyu suarez kawa kipolo cha misumari unakibeba huku kinakuchoma
 
La liga Champion contenders.
1. Atletico Madrid
2. Sevilla.
Huu ni msimu wa El chollo na Atletico Madrid yake baada ya real Madrid na Barcelona kushuka viwango. Laliga sasa si ya timu mbili tena ni zaidi ya 4. Yoyote yule kati ya hizi nne anaweza kunyanyua kwapa. Nimefurahia hii kitu kwa kweli. Zile falme mbili za Catalona na Madrid zinaanguka.

Atletico Madrid kwa miaka ya karibuni ilikuwa na timu nzuri lakini ilishindwa kushindana na Real na Barca kwa sababu ya ubora wa hivyo vilabu viwili.

Zama za kina barca na Madrid unaenda ikifika mwisho.
 
Kwan valverde amekatazwa labda kumtoa suarez au
Maana n kama tuliingia nae mkataba kuwa awe kiporo au awe uozo basi lazima acheze.
Hili swali nilijiuliza zamani sana, nikasema labda na ulaya wanakula rushwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom