FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hiii
8f446215a52e7d2685010684be9f0cbc.jpg
 
ukisikia ukame ndio huu unaowakuta majirani zetu kipindi hiki.
mechi 4 hawajafunga hata goli la VAR.
Unauza mwanadamu mwenye uwezo wa kufunga magoli 30 kwa msimu unamnunua ndugu yake mrisho ngassa.
madrid wamecheza masaa 6 na dakika 49 bila ya kufunga goli.
28/10 inapaswa kuwa siku muafaka ya kugongelea misumari ya tani saba kwenye mwili wa florentino perez.
lakini waheshimiwa na sisi tumejiandaaje kuishi bila ya mfalme LIONEL MESSI?
umri wake unasogea mbele na tumeshuhudia siku anayopumzika kidogo kwa ajili ya kulea watoto wake tunakua ovyo kuliko juisi ya papai.
halafu huyu bwana siku hizi ana style za kitoto sana za kusherehekea magoli
😛😛😛😛
1538906405037.png
 
Magazeti ya Spain yamemshauri Velverde,afanye kila awezalo flanks zote mbili za Barca zishinde katika half ya maadui-yamedai kufungwa ni bahati mbaya na defensive principles hazimo kwenye katiba ya club-Lengo sio kutofungwa bali ni ku outscore the opposition kama alivyofanywa Spurs
 
Magazeti ya Spain yamemshauri Velverde,afanye kila awezalo flanks zote mbili za Barca zishinde katika half ya maadui-yamedai kufungwa ni bahati mbaya na defensive principles hazimo kwenye katiba ya club-Lengo sio kutofungwa bali ni ku outscore the opposition kama alivyofanywa Spurs
Valvede ni mwoga sana wa kufungwa, lkn na wachezaji wetu wengi umri umeaza kuwatupa mkono kwahiyo hawawezi kuwa fit match zote
 
Amekuwa super sub, nahisi alipoteza confidence kwa kiasi kikubwa sana alipokuwa nasi. Borrsusia Watamfanya awe bora zaidi.

Pia kuchezea Barca au kuwa coach ni pressure sana wenyewe wana sema is too demanding.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom