GoatMessi huyu!!!!.
King messi liked your commentUefalona siku hizi mmekuwa mdebwedo kweli
Messi huyu!!!!.
bado mi nalia na Suarez. Hatufai kwasasa
Sijui anafanya nini uwanjani. Siku tujaribu forward ya Coutinho-Messi-Dembele. Nimeckoka na utepetevu wake.Cmuelew cku hzi
COUTINHO goal ya wazi analala usingizi
Sijui anafanya nini uwanjani. Siku tujaribu forward ya Coutinho-Messi-Dembele. Nimeckoka na utepetevu wake.
Uzee naonaPique amekuwa mchomeshaji sana msimu huu