Said Cosmetics
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 2,001
- 1,586
Bado moja tu aumbili
Mtizamo wangu pique kaokoa jahazi kwa asilimia kubwa. Blocks nyingi dhid ya targets za stuan na goli la kusawazishaPique ana matatizo
N beki ambaye cjawahi kumkubal yan
Mtizamo wangu pique kaokoa jahazi kwa asilimia kubwa. Blocks nyingi dhid ya targets za stuan na goli la kusawazisha
Huyu messi daahh
Sometimes timu nazo zinabeba sana. Jana nilikuwa nakaona kanafuata mpira hadi katikati. Barca kalikuwa kanatulia Jordi na Iniesta wanakapa mpira kanatoka nao mbio.
Aseee,watu wa soka hua aio wanafiki hivi,daah..Kanatia huruma sana...ni kama Ronaldo vile alizoea kuvishwa na akina benzema,,kule juve hakuna anayemjali maana kuna mafundi pale kila mmoja anataka afunge...
Aseee,watu wa soka hua aio wanafiki hivi,daah..
Punguza mahaba mkuu,ligi mech 5,anagoli 3,shota on target 10 plus,alaf msimu wa kwanza,kumjali gani unakoongeleq au mliexpect jive waige mchzo wa madrid,comeoooon'
Kweli kabisa,wanakua na vinyongo mda mrefu saana,wanasahau soka ni biashara,mda wowote mtu anaweza kuamua kuondokaMashabiki wa timu za hispania wana vinyongo sana, wao wanachotaka ni kunyakua wachezaji majina makubwa tu na sio kunyankuliwa,mbona liver coutinho alilazimisha kuhama ila hadi wa leo wameshamsahau na kumove on,hawa nao wajifunze kuwa wachezaji kuhama timu ni jambo la kawaida kwenye soka.
With only one league match, you already have all these conclusions about him?ukweli mchungu Arthur ni average player hana quality ya kucheza barca ni mzito mno bora uwe na yaya toure kuliko uo uchafu hana kiwango at a cha kumuweka benchi Denis suarez
mkuu ukweli mchungu jamaa mnampoteza kumfananisha na inesta labda kama mashabiki wa barca tumeiga u mombasa wa kupamba mavi maua kama mashabiki wa manchester unitedWith only one league match, you already have all these conclusions about him?
mkuu ukweli mchungu jamaa mnampoteza kumfananisha na inesta labda kama mashabiki wa barca tumeiga u mombasa wa kupamba mavi maua kama mashabiki wa manchester united
Nilishawahi kusema hapa.ukweli mchungu Arthur ni average player hana quality ya kucheza barca ni mzito mno bora uwe na yaya toure kuliko uo uchafu hana kiwango at a cha kumuweka benchi Denis suarez
uyo mchezaji hamna kitu kuanzia physical appearance yake alafu hana creativity barca vioungo tunao ivan na busquets pekee wengne wote mitumba labda Denis ana DNA za xavi na inestaNilishawahi kusema hapa.
Pia huwa anajificha kwa maadui Mara nyingine sio mtu wa kutafta nafasi sana.
Lkn tumpe mda maana anaendelea kufundishwa