FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

huyu kochA ni mjinga kabisa ana wachezaji wazuri lakini hana mbinu na hajui kupanga kikosi. yani kila siku kuwabadilisha wachezaji namba na kujaribu wachezaji.
kuna mechi za kujaribu wachezaji lakini si hizi za ligi,unamuweka suarez nje,beki vameleen messi anacheza namba 9 yani akipata mpira hadi atafute positin yake ndio apige vilevile kwa dembele.countinho kucheza nyuma ya dembele ni ujinga
 
huyu kochA ni mjinga kabisa ana wachezaji wazuri lakini hana mbinu na hajui kupanga kikosi. yani kila siku kuwabadilisha wachezaji namba na kujaribu wachezaji.
kuna mechi za kujaribu wachezaji lakini si hizi za ligi,unamuweka suarez nje,beki vameleen messi anacheza namba 9 yani akipata mpira hadi atafute positin yake ndio apige vilevile kwa dembele.countinho kucheza nyuma ya dembele ni ujinga
Ngoja tusubiri majaliwa yake yatakuwaje mkuu
 
Dembele kule kushoto wana force tu acheze lkn kuna msumbua kiasi
countinho ni kiwango na mzuri kumzidi huyo dogo mara 1000 na hilo eneo la kushoto ndio lake haswa hata akiwa kule liverpool,kinachonishangaza sijui nimkipi kinafanya wasimpe countinho nafasi ya kucheza eneo hilo hadi alazimishe huyo dembele kucheza hilo eneo
 
Vp mkuu
Umemuona pique "anavyookoa jahaz" la leganes eee

Blv me pique si beki wa kumtumainia
Ana matatizo mengi
Mtizamo wangu pique kaokoa jahazi kwa asilimia kubwa. Blocks nyingi dhid ya targets za stuan na goli la kusawazisha
 
countinho ni kiwango na mzuri kumzidi huyo dogo mara 1000 na hilo eneo la kushoto ndio lake haswa hata akiwa kule liverpool,kinachonishangaza sijui nimkipi kinafanya wasimpe countinho nafasi ya kucheza eneo hilo hadi alazimishe huyo dembele kucheza hilo eneo
Pesa walilipa nyingi sana, kwahiyo wana lazimisha acheza
 
Ngoja tusubiri majaliwa yake yatakuwaje mkuu
hii mechi itakwisha hivi utaniambia,mechi nyingi toka msimu umeanza nimeona kuna tatizo katika upangaji wa kikosi na mbinu za kocha.subiri siku barca ikutane na timu ambazo zipo vizuri kama liverpool,juve,buyern au madrid utaona majibu
 
hii mechi itakwisha hivi utaniambia,mechi nyingi toka msimu umeanza nimeona kuna tatizo katika upangaji wa kikosi na mbinu za kocha.subiri siku barca ikutane na timu ambazo zipo vizuri kama liverpool,juve,buyern au madrid utaona majibu
Mkuu naombea tunapo kutana na hao tuwe tayari tumekaa vzr.
Dembele ni chezaji mzuri lkn ni upande wa kulia hawezi muweka messi bench
 
hii mechi itakwisha hivi utaniambia,mechi nyingi toka msimu umeanza nimeona kuna tatizo katika upangaji wa kikosi na mbinu za kocha.subiri siku barca ikutane na timu ambazo zipo vizuri kama liverpool,juve,buyern au madrid utaona majibu
Tunaweza ongezwa pia
 
hii mechi itakwisha hivi utaniambia,mechi nyingi toka msimu umeanza nimeona kuna tatizo katika upangaji wa kikosi na mbinu za kocha.subiri siku barca ikutane na timu ambazo zipo vizuri kama liverpool,juve,buyern au madrid utaona majibu
Tumekuwa n watu wa kuhaha kutafuta "draw" za mihogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom