Ahsante, nadhani umeshaona matokeo mkuuSawa.
Karibu mkuu.Barca mnalaliwa leo, Atleti ashaaga mbio za la liga huko mapema mapema
Tatzo lako una papara kama jiweBarca mnalaliwa leo, Atleti ashaaga mbio za la liga huko mapema mapema
Tuna Dembele mkuuwakuu sicheki mechiila naona 2-1. hii comeback ya ukweli.
Utamwelewa tu Mkuu. Mambo mazuri hayataki haraka.Ila ule usajili wenu wa yule mchile sijawahi kuuelewa
Kutangulia siyo kufika Mkuu. "Usione Simba Kalowa na Maji ukazani ni Paka. Nafikiri umeelewa namanisha nini Mkuu!!!.Barca mnalaliwa leo, Atleti ashaaga mbio za la liga huko mapema mapema
Tumeshinda yes, ila magoli sio matamu kiivo, labda ile shuti ya coutihno ingezama





hii kauli walikua nayo simba daah mbele ya jiwe karekodi kakavunjwaTuvunje rekodi msimu mzima bila kufungwa![]()

hii kauli walikua nayo simba daah mbele ya jiwe karekodi kakavunjwa
Hahaha eti '... mbele ya jiwe' hukumbuki mwaka jana ee, i mean msimu uliopita!
Benchi tunala sasa hivi![]()
Ahsante lkn uache maneno ya khangaHongeren wakuu kwa ushindi mwingine
Hahaaaa acha kuturudishia machunga aiseeeMwaka jana hivi wale levante ni wa ligi ya wapi vile