mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,023
Wazee wa mbereko kamba imekatika kaaaaWe lazima ujilinganishe na baba yako? Huwezi andika kitu lazima uiandike Madrid pole dogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee wa mbereko kamba imekatika kaaaaWe lazima ujilinganishe na baba yako? Huwezi andika kitu lazima uiandike Madrid pole dogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Messi haitaji mvuto wowote, achana na waliozoea mvuto. Messi yeye anapiga kazi uwanjani anafunga na kutengeneza assist.Wakuu timu yangu Barca msimu itakosa mvuto kabisa. Hata ukicheki ligi yenyewe imepooza sana haina ile hamasa kama ile ya mwanzo.
Hata Messi atakosa mvuto maana yeye alikuwa anatembelea sana nyota ya Ronaldo Cr7.
Kila alipotajwa Messi basi Cr7 na yeye alitajwa. Sasa saiv Messi hana wa kum kompiti tena, labda Real wasajil mutu kama Neymar Jr ambaye anaweza kurudisha amsha amshaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana umeanza kuishabikia mpira Neymoney alipojiunga BarcelonaWakuu timu yangu Barca msimu itakosa mvuto kabisa. Hata ukicheki ligi yenyewe imepooza sana haina ile hamasa kama ile ya mwanzo.
Hata Messi atakosa mvuto maana yeye alikuwa anatembelea sana nyota ya Ronaldo Cr7.
Kila alipotajwa Messi basi Cr7 na yeye alitajwa. Sasa saiv Messi hana wa kum kompiti tena, labda Real wasajil mutu kama Neymar Jr ambaye anaweza kurudisha amsha amshaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure. Ambao wamezoea kushangilia watu (fanboys) na si mpira mzuri wataona ligi imekosa amshaamsha. Lakini tuliozoea ligi yetu tunaenjoy mpira mzuri wa Girona, Huesca et al.Messi haitaji mvuto wowote, achana na waliozoea mvuto. Messi yeye anapiga kazi uwanjani anafunga na kutengeneza assist.
Yani kitu ambacho hamkijui Laliga ni kubwa kwa sababu ya Barca na Madrid saizi na ATM.
Ngoja ianze UEFA ndo muone ubora wa La Liga nyie bakini na kusema mvuto ( kizuri chajiuza)
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia imemfahamu his majesty Leonel Andres Messi wakati Ronaldo bado anahangaika old trafford.Wakuu timu yangu Barca msimu itakosa mvuto kabisa. Hata ukicheki ligi yenyewe imepooza sana haina ile hamasa kama ile ya mwanzo.
Hata Messi atakosa mvuto maana yeye alikuwa anatembelea sana nyota ya Ronaldo Cr7.
Kila alipotajwa Messi basi Cr7 na yeye alitajwa. Sasa saiv Messi hana wa kum kompiti tena, labda Real wasajil mutu kama Neymar Jr ambaye anaweza kurudisha amsha amshaa..
Sent using Jamii Forums mobile app






Wakuu timu yangu Barca msimu itakosa mvuto kabisa. Hata ukicheki ligi yenyewe imepooza sana haina ile hamasa kama ile ya mwanzo.
Hata Messi atakosa mvuto maana yeye alikuwa anatembelea sana nyota ya Ronaldo Cr7.
Kila alipotajwa Messi basi Cr7 na yeye alitajwa. Sasa saiv Messi hana wa kum kompiti tena, labda Real wasajil mutu kama Neymar Jr ambaye anaweza kurudisha amsha amshaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
- barcelona haikosi mvuto kwa sababu barcelona ilikuwepo kabla ya cristiano ronaldo hajaanza kuwa na six pack.
- laliga imerudi kwenye hali yake ya kawaida kama ilivyokuwa miaka 10 iliopita
- kuna watu waliutumia uwepo wa ronaldo na messi kwenye la liga kama ni njia moja ya kujitengenezea fedha na umaarufu, sasa hawa ndio wanaisoma namba kipindi hiki kwa sababu yule mpenda kelele ameshaondoka na amebaki huyu asiye na muda wa kupigishana kelele na wazembe wa nje ya uwanja.
- kwenye miaka 10 hii ya laliga messi amebeba kiatu mara 5 na ronaldo kabeba kiatu mara 3, kama ameshindwa ronaldo kupambana na messi ataweza neymar?
- madrid wanapaswa wakafukue makaburi ya telmo zara, di stefano alfred na hugo sanchez kwa sababu hao ndio pekee wanaweza kuja kupambana na messi ila kwa wachezaji hawa wapaka poda watasubiri sana.
![]()
Huesca ni balaaSure. Ambao wamezoea kushangilia watu (fanboys) na si mpira mzuri wataona ligi imekosa amshaamsha. Lakini tuliozoea ligi yetu tunaenjoy mpira mzuri wa Girona, Huesca et al.
- barcelona haikosi mvuto kwa sababu barcelona ilikuwepo kabla ya cristiano ronaldo hajaanza kuwa na six pack.
- laliga imerudi kwenye hali yake ya kawaida kama ilivyokuwa miaka 10 iliopita
- kuna watu waliutumia uwepo wa ronaldo na messi kwenye la liga kama ni njia moja ya kujitengenezea fedha na umaarufu, sasa hawa ndio wanaisoma namba kipindi hiki kwa sababu yule mpenda kelele ameshaondoka na amebaki huyu asiye na muda wa kupigishana kelele na wazembe wa nje ya uwanja.
- kwenye miaka 10 hii ya laliga messi amebeba kiatu mara 5 na ronaldo kabeba kiatu mara 3, kama ameshindwa ronaldo kupambana na messi ataweza neymar?
- madrid wanapaswa wakafukue makaburi ya telmo zara, di stefano alfred na hugo sanchez kwa sababu hao ndio pekee wanaweza kuja kupambana na messi ila kwa wachezaji hawa wapaka poda watasubiri sana.
![]()
Wakuu timu yangu Barca msimu itakosa mvuto kabisa. Hata ukicheki ligi yenyewe imepooza sana haina ile hamasa kama ile ya mwanzo.
Hata Messi atakosa mvuto maana yeye alikuwa anatembelea sana nyota ya Ronaldo Cr7.
Kila alipotajwa Messi basi Cr7 na yeye alitajwa. Sasa saiv Messi hana wa kum kompiti tena, labda Real wasajil mutu kama Neymar Jr ambaye anaweza kurudisha amsha amshaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri hizo ndiyo zitaingia 16 bora Mkuu, ingawa mpira unadunda. Ila naunga mkono utabiri wako..
Sikiliza tuzo za uefa mesi anafanya mamboNeimar!!! Huyu neibishoo wa psg!!! Ronaldo amemshindwa King Messi, ataweza Neimar!!!! Ni bora abakie kule kule kwenye ligi yao ya mchangani akija spain ataibika....