FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Siku messi akihama Barcelona basi team yenu inakuwa ya kawaida sana
Kama wenzenu real madrid

E&K
Ahame aende wapi ashawaambieni yeye atastaafia pale na sasa yuko kwenye maandalizi ya kua kocha wa Lamasia Cantera ,anapiga papers now yuko level za juu sana after Johan Cruyff yeye ndio the next bingwa wa mastery of tick tacka style
 
Katikati pako clouded
Messi leo ana play make sana kuna need ya Coutinho ku advance mbele halafu Messi aletwe ku play deep ,Dembele kama kawaida acheze left na S.Roberto apandishe sana right flank hapo Suarez atapata magoli
Kuna shida ya coordination ya front line na mifielders -Velverde arekebishe hili
 
Kwa kweli Barça inacheza hovyo Sana kwenye kiungo. Yaani tunasubiri msaada wa VAR. Valvede hii timu kaiharibu Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika wanacheza ujinga mtupu, coach anashindwa kuwatumia wachezaji wake. Suarez amekuwa mzigo kwake, barca ambayo naamini itafanya vzr ni ya coutinho, messi na dembele (left-right). Kama ataendelea kuwa na Suarez kama hivi basi hatufiki mbali. Angalau amtumie huyu dogo Malcom, pia sijaona mpira wa Vidal

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom