Uzi kimyaaaaaaaa..... Barca Dogs back into their Caves like...
Halla Madrid. Ladecima
Msijifanye mpo kimyaaa, tunawajua, this is Madrid brothers and sisters!
Naona mnakuja kwa waume zenu na miwasho washo.. Tulieni tunajipanga na msimu ujaoMbuzi wameficha mikia yao.
Mwanaume ulayà nzima Ni Madrid wakiongozwa na almighty super captain mhuni Sergio Ramos sambamba na mnyama unyamani cr7!Naona mnakuja kwa waume zenu na miwasho washo.. Tulieni tunajipanga na msimu ujao

Tupo tunajipanga, sisi ni kazi sio maneno kila siku. Wenye busara huongea kidogo.Uzi umetelekezwa huu, si bure![]()
Nimekusoma...hiyo ni hela ya bure just kubashiri tu then ukipatia unapewa pasipo wewe kuweka dau lolote ,
Katua? au danadana tu!!!Willian
Kwenye mazungumzo bado chelsea wanataka 80Katua? au danadana tu!!!
Ngoja tuone, maana Man u nao wanammendea kwa mjibu wa tetesi...Kwenye mazungumzo bado chelsea wanataka 80
Mkuu huyu anakuja kufanya nn?Kwenye mazungumzo bado chelsea wanataka 80
Valverd pia kauliza swali kama lako!!!Mkuu huyu anakuja kufanya nn?
Safi sanaValverd pia kauliza swali kama lako!!!
Kasema shida ipo kwenye mid hasa baada ya Fundi Iniesta kuondoka. Kwa hiyo anafikiri wangeanza kufanyia kazi eno hilo.
Huenda hata ujio wa Arthur Melo kutoka Gremio msimu huu badala ya January, 2019 nikutokana na ushauri wake ktk Bodi ya usajili.
Hahaha duhhMkuu huyu anakuja kufanya nn?
Messi anacheza upande wa kulia, Dembele anacheza upande wa kulia, Willian nae anacheza upande wa kulia.kiukwel hata mbele kwenye attack hatupo vizur mzigo wa kufunga ni wa messi pekee yake,Suarez cyo mtu wa kumtegemea kama misimu 2 iliyopita. Willian atasaidia sana kwenye attack mana anapiga sna nje ya box na ananyumbulika