BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,334
- 8,813
WC nayo haitabiriki kabisaa.. Nakumbuka msemo wa memba mmoja humu, kwamba 'arg ni kama genge la masuperstar' haha nawasubiri kuwaona
😀😀😀 sawa kamanda wangu
WC nayo haitabiriki kabisaa.. Nakumbuka msemo wa memba mmoja humu, kwamba 'arg ni kama genge la masuperstar' haha nawasubiri kuwaona
Tutajutia TU. endapo hizi rumors zikitokea kweli esp kwa ile loan + option ya kumnunua wanayoitakaWakuu mnazungumiaje hizi habari za kutaka kumtoa Dembele na Denis kwa mkopo ili Grizman aje

Lkn mm kwa mtazamo wangu naona Grezman hata shine barca kwani upande anao cheza ndio mfalme wa barca anacheza pale. Dembele ni hazina ya baadae umri unamruhusu, Messi hana hata misimu 3 ya kucheza kwa nguvu sana.Tutajutia TU. endapo hizi rumors zikitokea kweli esp kwa ile loan + option ya kumnunua wanayoitaka![]()
![]()
![]()
Huo utakuwa upuuzi mwingine wa ValverdeWakuu mnazungumiaje hizi habari za kutaka kumtoa Dembele na Denis kwa mkopo ili Grizman aje
Dah kiukweli anazingua sana maana sioni future ya barca kama hao madogo watatolewaHuo utakuwa upuuzi mwingine wa Valverde
Huyo Griezman me hata bado cjaona ulazma wa kumsajiri
Press ya leo kasema anaimani na base iliyopo ndio iliyotufikisha hapo, japo hata change sura ya timu ila atafanya usajili kidogo na jicho likiwa kule B squad, sasa anaangalia B squad huku madogo wengine hawapi muda akina denis na Dembele.Lkn mm kwa mtazamo wangu naona Grezman hata shine barca kwani upande anao cheza ndio mfalme wa barca anacheza pale. Dembele ni hazina ya baadae umri unamruhusu, Messi hana hata misimu 3 ya kucheza kwa nguvu sana.
Waaache ujinga asiee, unajua barca Messi akiondoka tunaweza pata shida sana. Inabidi team iaze kuandaliwa upyaPress ya leo kasema anaimani na base iliyopo ndio iliyotufikisha hapo, japo hata change sura ya timu ila atafanya usajili kidogo na jicho likiwa kule B squad, sasa anaangalia B squad huku madogo wengine hawapi muda akina denis na Dembele.
Mzee yule basi tuu.. Hadi semedo ana hati hati ya kuuzwa.
King ndio hivyo tena haitazidi misimu mi 3