- kANA -
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 4,088
- 10,552
Kuna trend naiona sasa hivi kwenye safu yetu ya ushambuliaji. Wanapiga sana mashuti tokea nje ya box kwa mechi almost tano mfululizo sasa!
Hii itatufaa sana kwa opponents wanaopenda kujaa ndani ya box wakicheza na Barca.
My biggest worry ni ule ukuta. Asee we have a very poor defence. Yerri Mina hana ile outstanding class niliyotegemea. He's average.
Pique is aging up, Umtiti anajisahau sana. Yani kule nyuma wanakaba kwa macho tu!
Kufungwa tano na levante ni ushahidi wa ninachokiongelea. Hata hawa Sociadad hawakua makini tu, wangetuumiza .
Yerri mina na ule urefu wote bado opponents wanapiga free headers in our box, inasikitisha!
The only strong part of our defense ni upande wa kulia. Semedo is absolutely world class.
Mimi nafikiri usajili wa kipindi hiki ujikite kuimarisha defense. Huko mbele tuko vizuri sana na tunajitosheleza. Vijana wapewe muda wa kucheza hasa Dennis, Dembele na Sergi Roberto. Hawa ndio future ya Barca!
Tunahitaji kupitisha fagio kwa akina Gomes, Paco, Vidal and the like.
There is only one way Barca can succeed without Messi. TEAM PLAY!
Hawa madogo wakipewa muda wakatengeneza chemistry, team itakua vizuri sana. Tofauti na hapo, itatubidi tuendelee kutegemea miujiza ya La Pulga!
Umtiti, Semedo, Roberto, Coutinho, Dembele, Dennis, na wazee wachache wakiwasaidia tutakua na team nzuri sana hapo baadae.
Sioni umuhimu wa kumsajili Griezman!
Hii itatufaa sana kwa opponents wanaopenda kujaa ndani ya box wakicheza na Barca.
My biggest worry ni ule ukuta. Asee we have a very poor defence. Yerri Mina hana ile outstanding class niliyotegemea. He's average.
Pique is aging up, Umtiti anajisahau sana. Yani kule nyuma wanakaba kwa macho tu!
Kufungwa tano na levante ni ushahidi wa ninachokiongelea. Hata hawa Sociadad hawakua makini tu, wangetuumiza .
Yerri mina na ule urefu wote bado opponents wanapiga free headers in our box, inasikitisha!
The only strong part of our defense ni upande wa kulia. Semedo is absolutely world class.
Mimi nafikiri usajili wa kipindi hiki ujikite kuimarisha defense. Huko mbele tuko vizuri sana na tunajitosheleza. Vijana wapewe muda wa kucheza hasa Dennis, Dembele na Sergi Roberto. Hawa ndio future ya Barca!
Tunahitaji kupitisha fagio kwa akina Gomes, Paco, Vidal and the like.
There is only one way Barca can succeed without Messi. TEAM PLAY!
Hawa madogo wakipewa muda wakatengeneza chemistry, team itakua vizuri sana. Tofauti na hapo, itatubidi tuendelee kutegemea miujiza ya La Pulga!
Umtiti, Semedo, Roberto, Coutinho, Dembele, Dennis, na wazee wachache wakiwasaidia tutakua na team nzuri sana hapo baadae.
Sioni umuhimu wa kumsajili Griezman!