William ni kwa ajili ya winga ya kushoto, kwa sababu saizi wanataka waje watumie 4:3 :3 afu Cothinho acheze nafasi ya IniestaMkuu huyu anakuja kufanya nn?
William ni kwa ajili ya winga ya kushoto, kwa sababu saizi wanataka waje watumie 4:3 :3 afu Cothinho acheze nafasi ya IniestaMkuu huyu anakuja kufanya nn?
Willian nacheza wing ya kulia mkuu, au mimi ndo sielewi?William ni kwa ajili ya winga ya kushoto, kwa sababu saizi wanataka waje watumie 4:3 :3 afu Cothinho acheze nafasi ya Iniesta
Barcelona are reportedly keen on the Chelsea wingerTransfer consultant Ian McGurry reckons that Willian is the strengthening Barca needWillian nacheza wing ya kulia mkuu, au mimi ndo sielewi?
Hawa jamaa watuache, lkn Suarez kawa butu flani hivi.
Kwa hiyo Suarez akiondoka huna shida. Release close ya Cotinyo ni Euro 400 million. Wakitoa wanaweza kuondoka naye. Pesa mwanaharamuHawa jamaa watuache, lkn Suarez kawa butu flani hivi.
Sina shida nae sana, sema replacement yake nayo ni shida kidogo.Kwa hiyo Suarez akiondoka huna shida. Release close ya Cotinyo ni Euro 400 million. Wakitoa wanaweza kuondoka naye. Pesa mwanaharamu
anaenda kwa mkopo ila kuna option ya kumnunuaMchizi alikua loan kumbe, labda ndio maana wanamleta willian View attachment 805491
suarez kiwango kimekwisha kiukwel nadhani hata gemu ya france mliona livyokua anakimbia tu uwanjaniHawa jamaa watuache, lkn Suarez kawa butu flani hivi.
Ana goli zake nane, sio mbayaanaenda kwa mkopo ila kuna option ya kumnunua
tunatakiwa tutafute midfielders wa kuziba nafas za iniesta na paulihno tumebakiwa na watu wa maana 3 in the midle, sergio, philipe na ivan waliobak wote ni magarasa sergio na ivan tayar wana 30 yrs wapo katika wrong ageAna goli zake nane, sio mbaya
Arthur Melo (kutoka Gremio) tayari ndani ya nyumba, ana miaka 21. inadaiwa kuwa ni Kariba ya Iniesta.tunatakiwa tutafute midfielders wa kuziba nafas za iniesta na paulihno tumebakiwa na watu wa maana 3 in the midle, sergio, philipe na ivan waliobak wote ni magarasa sergio na ivan tayar wana 30 yrs wapo katika wrong age
yapNasikia Lucho amekuwa kocha mpya wa Spain
Pique anabadili mawazo ya kustaafuNasikia Lucho amekuwa kocha mpya wa Spain
Confirmed hiyo MkuuNasikia Lucho amekuwa kocha mpya wa Spain
Yeah itakuwa 1 leg wenyewe wanasemaTarehe 12 mwezi wanane tutapiga Spanish super cup na Seville. Nasikia msimu huu itapigwa mechi moja tu. badala ya mbili. wanasema inaweza pigiwa Morocco