FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,361
Sasa hajaamua, (kama vip andamana basi). Messi10 siyo Neymar. Anaishi yeye kama yeye na hafuati mikumbo kama wewe na Neymar wako.Hata EPL man city inaonesha interest kila mwaka. Ni yeye tu akiamua anatua pale
Sasa hapa tutaingia kwenye mabishano ya ligi.
EPL si ligi mbovu
Bora umemtaja Neymar, maswali:-
1.Ameshakuwa mchezaji bora mara ngapi hadi sasa baada ya kuhama?
2.Ana goli ngapi hadi sasa?
Hata Cavani tu kashindwa kumfikia!!! eti anakimbia kivuli cha Fundi (hahahaaaa).
Anashindwa kujua kwamba kivuli cha fundi hakikimbiwi unless ubadili football carrier ukacheze tennis/basketball.
Ukweli ni kwamba siyo lazima uhame hame vilabu ndiyo uwe bora, wangapi wamehahama? Kama kuhamahama kingekuwa kigezo cha kuwa mchezaji bora basi wote waliowahi kuhama klabu 1 kwenda nyingine wangekuwa wachezaji bora wa dunia.
Achana na hisia na mawazo yako potofu kijana!!!!
Kwa wachezaji wenye viwango hawawezi kwenda Epl. Angalia saizi eti Man u wanamtaka Bale wakt La Liga bale amaanza kua useless. Akina Ronaldo. Pique , Modric, Bale nk walitoka kwenye ligi mbovu wakaenda kwenye Ligi bora. Saizi wanafikria walirudi EPL ili wakamalizie mpira
Afu kingne dabi kubwa ipo kwenye Ligi kubwa El Classico dunia inasimama lakn vidabi vya uingereza mnakua mnajua wenyewe wenye EPL yenu.
Sheria imebadilika wakwanza hadi wanne wanapita moja kwa moja, ila nakukumbusha kila team inaruhusiwa kuchua UEFA pale mabingwa wa kihistoria wanapotolewa wakifika fainali visingizio vitakuwa wanabebwa, magoli ya offside wakati Ramos akinyanyua trophy back to back to forwardHaya matokeo ya kina Iceman 3D yamekuwa mazuri sana. tuko point 11 kileleni na wao leo wanaingia nafasi ya nne Rasmi. Hivi mtu wa nne si UEFA anapita mlango wa nyuma? Kuna mtu atakosa next UCL🙂🙂🙂
Hivi ku hate mnalipwa??Sijakataa nimekubali kawafungwa Chelsea, ila hebu linganisha kiwango cha Chelsea ya sasa na Chelsea zote alizo kutana nazo Messi, hii ni dhaifu kuliko hizo zotee.
Buffon wa mwaka huu amabaye hata mechi za ndani hadaki zote naye kaisha, Messi hajamfunga Buffon on his prime.
Kwa hiyo its nothing special kaotea mida mibovu tu
Kwanini?Nawaonea huruma sana Madrid wakimtoa Navas na kumleta De Gea.
Yani huyu anatakiwa match zingne anzishwe bench akili imkae vzr. Mana siku hizi hata hajitumi
Tatizo ni kuwa wenzetu wana chukulia vigezo kwa kuangalia mashindano ya UEFA jambo ambalo ni kweli kuwa Madrid Barca na Atletico wamefanya vzuri zaidi.Sasa Uingereza ni ligi? Ukitaka kujua uingereza ni ligi mbove Review vikosi vya FIFA vya miaka mitatu iliyopita unakuta wachezaji waliopo asilimia tisini wanatoka La Liga. Afu jiulize nani anaweza kumkaribia Messi anaecheza EPL ili labda amzuie asichukua mchezaji bora Epl . Unasema Ronaldo kachukua mchezaji Mara mbili mfululizo EPL. Jibu simple alikutana na wabovu mana hata vipofu wana viongozi wao. Jiulize kwa nini ajachukua Mara zote Laliga? Kwa sababu kuna wanaojua kuliko yeye.
Ukweli Ronaldo ni mzuri kwenye kufunga lakn utofauti na messi ni pale Madrid wakiwa wabovu Ronaldo nae anakua mbovu ukitaka kuthibitisha ilo angalia mwanzo wa msimu huu Ronaldo alikua hafungi kwa sababu timu nzima ilipotea. Lakn Messi timu ikipotea yeye anakua bora. Review mechi zdi ya Sevila na mechi ya mwisho akiwa na Argentina kwenye kufuzu WC.
We jamaa una shida sana, unarukia rukia post bila kuzielewa halaf una panic sana kama huwez fanya debate na mim kaa kushoto.wewe ndo ulitoka nje ya mada! Nani alikuwa anazungumzia goli la baiskel hapa? wewe ndio unaleta hisia ambazo hazikuhitajika kwenye mada. Hoja ilikuwa ubovu wa Chelsea/Buffon kufungwa na fundi.
Tumekuuliza maswali umeshindwa kuyajibu! Mfano, Je! wakati Messi10 anapowafunga (madridiots) huwa niwabovu kama Chelsea/Buffon???
Acha ushabiki wako usiokuwa na hoja za msingi!!!!
Uanashau fact mojaKwa wachezaji wenye viwango hawawezi kwenda Epl. Angalia saizi eti Man u wanamtaka Bale wakt La Liga bale amaanza kua useless. Akina Ronaldo. Pique , Modric, Bale nk walitoka kwenye ligi mbovu wakaenda kwenye Ligi bora. Saizi wanafikria walirudi EPL ili wakamalizie mpira
Afu kingne dabi kubwa ipo kwenye Ligi kubwa El Classico dunia inasimama lakn vidabi vya uingereza mnakua mnajua wenyewe wenye EPL yenu.
Nitajie tuzo ambayo Messi anayo halaf Cr 7 hana. Lakini bado Cr 7 kaongeza na kucheza ligi mbili it matters usije uka puuzia hiliwewe hujui mpira ? Yaani fundi ana vikombe vinalingana na umri wake alafu wewe unasema aende sijui wapi akachukue uchezaji bora? wakati ana mipira 5 ya dhahabu kabatini. Anaviatu vinne (4) vya dhahabu kabatini.
Unataka akachukue uchazaji bora wa aina gani tena???? Acha mawazo mgando Wewe.
Haya matokeo ya kina Iceman 3D yamekuwa mazuri sana. tuko point 11 kileleni na wao leo wanaingia nafasi ya nne Rasmi. Hivi mtu wa nne si UEFA anapita mlango wa nyuma? Kuna mtu atakosa next UCL🙂🙂🙂
Staki tuweke data za Neymar kwani si kengo langu. Nakumbika Barca walikuwa wana sema Neymar hauzwii ooh hauziki sjui lakini jamaa aliondoka. Ishu ni kuwa ali determine kuondoka. Kumbuka kuwa Neymar kajinunua mwenyewe. Jinsi alivo kuwa ana tafuta ku epa. Wachana na anacho kifanya huko, hiyo kwangu haikuwa pointBora umemtaja Neymar, maswali:-
1.Ameshakuwa mchezaji bora mara ngapi hadi sasa baada ya kuhama?
2.Ana goli ngapi hadi sasa?
Hata Cavani tu kashindwa kumfikia!!! eti anakimbia kivuli cha Fundi (hahahaaaa).
Anashindwa kujua kwamba kivuli cha fundi hakikimbiwi unless ubadili football carrier ukacheze tennis/basketball.
Ukweli ni kwamba siyo lazima uhame hame vilabu ndiyo uwe bora, wangapi wamehahama? Kama kuhamahama kingekuwa kigezo cha kuwa mchezaji bora basi wote waliowahi kuhama klabu 1 kwenda nyingine wangekuwa wachezaji bora wa dunia.
Achana na hisia na mawazo yako potofu kijana!!!!
Hii inaitwa RantSasa hajaamua, (kama vip andamana basi). Messi10 siyo Neymar. Anaishi yeye kama yeye na hafuati mikumbo kama wewe na Neymar wako.
Hamna BP hata na mimi kwa mtazamo wangu una penda sana mabishano. Ni kwakuwa mimi na wewe hatujawahi shabikia upande mmoja kwa lolote. Ila utashi wako wa mpira huwa naukubali kila skuWewe ndio zako hizo,, unapenda sana mabishano mkuu..ndio maana nimeamua nikae kimya tu..
Kwani nyie mnavo mhate Ronaldo mnalipwa nini?Hivi ku hate mnalipwa??