FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mko nafasi ya ngapi?
Hiyo nafasi uliyopo ndio maana ya Ronaldo kufunga useless goals....,Messi ame score magoli mengi ambayo ni decisive ndio maana tupo hapa
Kuwa muungwana mzazi inapofika suala la mpira siwezi mchukia Messi kwa kumpenda Ronaldo sasa ondoa magoli yote 22 aliyofunga Ronaldo uone Madrid itakuwa na point ngapi. Mfano ukiondoa chuma nne za Ronaldo Madrid Vs girona Madrid Yuko nyuma chuma moja sasa kwako decisive tafsiri yake ni nini
 
mnyama huyo
FB_IMG_1521475757599.jpg
 
Mshambuliaji wa Barcelona Lionel Messi amefichua kwamba hatapiki tena wakati wa mechi kwa sababu hatumii tena chokoleti na vinywaji vyenye gesi. (Goal)
 
Teteai

Barcelona, Paris St-Germain na Real Madrid zinataka kumsajili mshambuliaji wa Liverpool Mohammed Salah , 25 kwa dau la uhamisho litakalovunja rekodi la £200m. Raia huyo wa Misri amefunga mabao 28 katika ligi ya Uingereza msimu huu. (Sun)
 
Teteai

Barcelona, Paris St-Germain na Real Madrid zinataka kumsajili mshambuliaji wa Liverpool Mohammed Salah , 25 kwa dau la uhamisho litakalovunja rekodi la £200m. Raia huyo wa Misri amefunga mabao 28 katika ligi ya Uingereza msimu huu. (Sun)

Psg wamepoteza pesa kwa sharo, Salah ni bora zaidi yake. Namshauri King Messi amsajili huyu mwarabu
 
Duh! Acha upinzani neymar mwenye mguu mmoja ni bora kuliko salah mwenye miguu mi wili


Haijalishi ana mguu au miguu mingapi. Since angie europe kafanya kitu gn cha maana!! Barca kamkimbia Messi, Psg pamemshinda aende wapi patamfaa? Madrid pale kuna Cr7 utamlinganisha na neimar!! Though simpendi cr7 lakini sometimes anaisaidia timu yake sio kama Neimar kazi kukimbia na mpira. Juve kuna Dybala utamlinganisha na neimar, Man city kuna De bruyn aguero Silver and Gundogan n.k. atletico kuna majembe zaidi yake Griezman Correa n.k. Salah since aingie Liver i think ushaona vitu anavyovifanya wakati neimar ataendelea kujipamba na kuvaa heleni while wenzie wapo kikazi zaidi.


  • Dybala
  • De bruyn
  • Griezman
  • Salah
  • De maria
  • Mbappe
Pongezi kwao hawa vijana, wapo kikazi zaidi na watafika mbali sana. Barcelona tupieni macho kati yao anawafaa.
 
Neymar ni talented hao uliowataja wote ukiwafanyia editing awe mtu mmoja bado hawamkuti neymar jr

Sawa mkuu endelea kumpamba tu. Yeye si anautafuta ufalme bwana!! Ufalme hautafutwi kwa style hiyo, Messi ni mfano wa kuigwa kwa wachezaji wazamani na wa sasa.ndio maana wengi wametabiri kuwa Dybala ndie messi ajae. Ila sitaki kuamini hicho kitu. Messi atabakia kuwa Messi/Messi seguirá siendo el rival de Messi para él


También mi líder, buenas noches Yeth lottah
 

Haijalishi ana mguu au miguu mingapi. Since angie europe kafanya kitu gn cha maana!! Barca kamkimbia Messi, Psg pamemshinda aende wapi patamfaa? Madrid pale kuna Cr7 utamlinganisha na neimar!! Though simpendi cr7 lakini sometimes anaisaidia timu yake sio kama Neimar kazi kukimbia na mpira. Juve kuna Dybala utamlinganisha na neimar, Man city kuna De bruyn aguero Silver and Gundogan n.k. atletico kuna majembe zaidi yake Griezman Correa n.k. Salah since aingie Liver i think ushaona vitu anavyovifanya wakati neimar ataendelea kujipamba na kuvaa heleni while wenzie wapo kikazi zaidi.


  • Dybala
  • De bruyn
  • Griezman
  • Salah
  • De maria
  • Mbappe
Pongezi kwao hawa vijana, wapo kikazi zaidi na watafika mbali sana. Barcelona tupieni macho kati yao anawafaa.
Mkuu wewe mpira huujui...hata kama neymar kaondoka barca lakn bado ni mchezaj mzur zaid kuliko hao uliowataja..
 
Sawa mkuu endelea kumpamba tu. Yeye si anautafuta ufalme bwana!! Ufalme hautafutwi kwa style hiyo, Messi ni mfano wa kuigwa kwa wachezaji wazamani na wa sasa.ndio maana wengi wametabiri kuwa Dybala ndie messi ajae. Ila sitaki kuamini hicho kitu. Messi atabakia kuwa Messi/Messi seguirá siendo el rival de Messi para él


También mi líder, buenas noches Yeth lottah
Neymar atabak kuwa neymar . messi nae atabak kua messi. Usitegemee kumpata mchezaj anaecheza kama messi kipindi cha even 10years later... Huyo dybala hata afanye hateweza kufka hata nusu ya ufund na uchezaji Wa messi
 
Kukutana na real Madrid ligi ya mabingwa ulaya ni sawa na kushindana na Ccm uchaguzi mdogo ,hata ufanyike Kilimanjaro kule siha ,Ccm itashinda kwa ushindi wa kishindo
Umesahau 2010 mlipigwa 2-0 na Barca nusu fainali au ile haikuwa Madrid!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom