GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,362
- 5,606
HahaaaPumbavu sana
HahaaaPumbavu sana
Watu wengine kutafuta umaarufu pumbavu zao leo lazima warud na damu tunawanyoa kwa chupa hao machokoraa ya darajaniHahaaa
Mechi imeshaisha labda usubiri goal la Suarez tuChelsie wakua wazur sana first half kuliko barca in term of attacking.. While barca wakua vizur sana kwenye Ku compose mpira. Any way ngoja tusubir Second half
Noma sanaWatu wengine kutafuta umaarufu pumbavu zao leo lazima warud na damu tunawanyoa kwa chupa hao machokoraa ya darajani
Mkuu ulitakiwa umuombe msamah kuanzia game ya Malaga alikuwa Man of the matchMlioko spain jaman naomba mumfikishie salamu zangu Dembele kua namuomba msamaha yaani nilikua namchukia na kumbeza kwa kiwango chake kibove lakini goli la leo limefuta makosa yake yote
Poa mkuu karibu sasa tuchambueHahaha
Watani wangu hawa kaka
Ngapi huko??Mechi imeshaisha labda usubiri goal la Suarez tu
Yea mechi imeisha.., veverde amekua bora zaid kwenye tactical defensing.., cjawah kua na kocha bora zaid barca kwa kuweza kuhimil presha iletwayo golin mwake., lakn pia hana tactical nzur kwenye upande wa kuuchezea Mpira as a team.Mechi imeshaisha labda usubiri goal la Suarez tu
HT.. One goal, one assist mkuu ushamuona mchawi wako mwingine?katika timu nzima ya baselona namuhofia INIESTA peke yake
Hilo ndilo linabusti career yake pale Barca...just observe the way Messi alivyomkumbatia with passion!Mlioko spain jaman naomba mumfikishie salamu zangu Dembele kua namuomba msamaha yaani nilikua namchukia na kumbeza kwa kiwango chake kibove lakini goli la leo limefuta makosa yake yote
We kweli mjinga.nilitabiri Madrid ingemfunga PSG.
nilitabiri juventus itamfunga spurs
nilitabiri arsenal itamfunga ac Milan
na leo natabiri Chelsea itamfunga barca.
iwe ndani ya 90,au ndani ya 120 au matuta.
barca OUT.