FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Umtiti kala njano.
Kabla ya goal lao nimeona pia wamegongesha mwamba hapo na takwimu bado zina wabeka mpaka sasa tunachowazidi ni possession tu na shot on target napo hatujawaacha mbali
 
Hii match kocha aliizalau sana, lkn mpaka hapa ishakuwa ngumu
Mapema nilivyoona kikosi nikatoa hii kauli ya kocha kudharau game sasa mambo ni hot na wapinzani ata dro inawatosha kabisa
 
FT 1-1. siyo mbaya. 5 points above ATM. Dembele kakinukisha dk chache alizocheza. Jpili inabidi tufunge turbo, tuattack kama hayawanimwitu.
 
Huu ujinga anafanya kocha akiendelea nao basi ataighalimu sana timu, hii mechi tulitakiwa kushinda ila kocha kaifanya kuwa ngumu. Kosa alilolifanya dhidi ya espanyol ndo karudia leo
 
FT 1-1. siyo mbaya. 5 points above ATM. Dembele kakinukisha dk chache alizocheza. Jpili inabidi tufunge turbo, tuattack kama hayawanimwitu.

Ni mbaya sana kwetu maana atletico wanatupumulia kwa kasi kubwa, si mara ya kwanza kwa kocha kudharau mechi na kupanga kikosi kibovu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom