FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Na huo ndio uhalisia. Ata mimi siamini Atletico kubeba hili kombe, miaka mingi Barca ndo huwa anabeba sana LA LIGA kuliko timu yoyote, itokeage tu mara moja moja ndo wanabebaga akina Madrid na Atletico.
Real madrid kachukua mara 33, Barcelona mara 24, Atletico mara 10
 
Neymar akiibeba Madrid kama anavyoibeba Ronaldo naacha kufatilia soka. Labda ana Ronaldo awepo pia uwanjani humohumo ila sio kusema amreplace Ronaldo.
Nilishatangaza na ninasema tena yule dogo soka lake linaelekea kufa mapema kama ilivyo kwa ndugy yake kaka.
 
Wadau kuna kina dalili ya kupigwa na Atletico na Chelsea sababu ya ujinga wa kocha na pia makombe tutayasikilizia kwa jirani nawaambia
Kocha hana sababu ya msingi kumweka Denis njee matches 11 alafu anaangaika na magarasa kama Gomez na Vidal ambao hawana maana kwa team
Nahic Valverde hawaamini vijana anakomaa na wakongwe ambao wengi ni magarasa
 
Nilishatangaza na ninasema tena yule dogo soka lake linaelekea kufa mapema kama ilivyo kwa ndugy yake kaka.
Dogo sehemu za kwenda kucheza walau angeenda bayern au man city, PSG? Hapana kwa kweli. Na mpaka sasa yupo pabaya kwa kweli.
 
Upanuzi wa uwanja wa ndege waBarecelona hautawezekana kwa sababu "ndege haziruhusiwa kupaa juu ya nyumba ya Lionel Messii "kwa mujibu wa Rais wa Vuielig Javier Sanchez-Prieto. (Marca)
 
Barca squad for tomorrow's game
c182077b5a26d47e67b46460ec5b8184.jpg
 
Upanuzi wa uwanja wa ndege waBarecelona hautawezekana kwa sababu "ndege haziruhusiwa kupaa juu ya nyumba ya Lionel Messii "kwa mujibu wa Rais wa Vuielig Javier Sanchez-Prieto. (Marca)
Aisee hii mbona kali ya mwaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom