FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Barcelona hajawahi kushinda darajani
Barcelona hajawahi kutoka na cleansheet darasani
Waleteni hao
Sio kweli mkuu,
Barca ameshinda Stanford bridge

Ilkua february mwaka 2006 goli 2-1
Jaribu kupitia tena kumbukumbu zako mkuu.
 
Game ya leo
Dembele (kama ataanza) ,Iniesta ,Sergio Roberto ,Paulinho &Rakitic plus Busquets wata determine sana matokeo lwa sababu hawa jamaa ni more defensive sana na hua wanapiga counter kupitia katikati (Hazard,Ngolo kante) na pembeni (left-Pedro na Right - Victor Mosses)
So hata idea ya kujaza sana viungo naikubali lakini inabidi ilete balance na attacking
 
Qumamae...
Pale Hazard, pale Morata. Nyuma mzee Ng'olo Kante. Kubabake walay.
Lazima mbwa wa Catalonya warudi kwao huku vijambio vinavuja damu.

Chelsea pigeni Mbwa haooo!!!
Morata ni miongoni mwa stricker watatu wabovu sn kupata kutokea msimu huu wa uefa

Nyuma ya mwenzie Luis Suarez anayeshika mkia mpk sasa.

Morata alikua na XP ya 4.2 (expected goals) mpk kumalizika kwa group stage

Ila kilichotokea ni actual goal ya 1.0 mpaka hivi sasa.

Kiuhalisia,
MORATA SIO MCHEZAJI TISHIO kwa hivi sasa , UKIWEKA USHABIKI PEMBENI
 
3d18e6ae77dd74e2ad3db96b602949c1.jpg

Huyu hapo
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Daah kuna news nazskia kuwa messi hatak kumuona dogo dembele mechi ya kesho kamwabia ivo kocha...kama hizi taarifa ni za kweli basi ushabiki wangu kwake napunguza maana naona ka anajsahau alivokuwa chpukzi na jinsi gaucho alivomsaidia kukuwa....messi needs 2 help n encourage dembele in zc kind of moments dembele h s passin through...all in all i am wshn dembele would gonna reveal his good form n gonna b one of key players in our team
Sitegemei Dembele kupata namba Game ya Chelsea, Dembele majeruhi yamemsumbua sana. Hawezi kutoka kwenye majeruhi na haraka haraka aingia kwenye mechi ngumu kama hii. Messi anaweza akawa yupo sahihi kabisa.
 
Uko sawa mkuu lakini kipinda kina Gaucho wanamshika mkono Mess nae alikua anashikika kweli mana alikua anauwasha sio kitoto, sasa Dembele pale hayupo academy wala hajatoka Lamasia bali kasajiriwa kutoka club kubwa tena kwa dau kubwa sanaaaa...

Sasa kwa kile kiwango anachoonesha anatupa mashaka ata sisi mashabiki sio Mess tu yani hajiamini anaogopa ogopa tu kama mpuuzi mixer majeraha hayamuishi kila kukicha...

Tunaelekea ktk game kubwa na yamuhimu hatuhitaji mtu anaetafuta ujasir uwanjani bali tunahitaji mtu anaejiamini na kuweza kusaidia timu kupata matokeo
Kweli kabisa atatuchomesha, labda aingizwe dk za mwisho kama tukiwa tunaongoza kwa magoli ya kutosha, mechi kubwa sana hii tukizingua hapata kalika kabisa
 
Kweli kabisa atatuchomesha, labda aingizwe dk za mwisho kama tukiwa tunaongoza kwa magoli ya kutosha, mechi kubwa sana hii tukizingua hapata kalika kabisa
Sasa Mess kusema Dembele asipangwe kuna wadau wanamuona anazingua lakini yupo sahihi kabisa.

Kumbuka mtu wa mwanzo kabisa kumpinga Gomez alikua ni Mess na aliwaambia wamuuze lakini hawakumsikiliza. Angalia sasa hv kila mtu hamtaki zaidi ya benchi la ufundi tu.

Mess is Genius..
 
Sasa Mess kusema Dembele asipangwe kuna wadau wanamuona anazingua lakini yupo sahihi kabisa.

Kumbuka mtu wa mwanzo kabisa kumpinga Gomez alikua ni Mess na aliwaambia wamuuze lakini hawakumsikiliza. Angalia sasa hv kila mtu hamtaki zaidi ya benchi la ufundi tu.

Mess is Genius..
Haya ni maneno ya vijiweni tu!

Messi hapangi kikosi, wala Messi hayumo kwenye board ya usajili.

Inaweza kua personal opinion tu, ila sio decision.

Dembele anahitaji kupona vizuri ndo arudi uwanjani, hii ni mechi ngumu na inahitaji experience pia.

Otherwise, kwa wanaosema tumepoteza hela kwa dembele naamini hamumjui vizuri huyu bwana mdogo!
 
Haya ni maneno ya vijiweni tu!

Messi hapangi kikosi, wala Messi hayumo kwenye board ya usajili.

Inaweza kua personal opinion tu, ila sio decision.

Dembele anahitaji kupona vizuri ndo arudi uwanjani, hii ni mechi ngumu na inahitaji experience pia.

Otherwise, kwa wanaosema tumepoteza hela kwa dembele naamini hamumjui vizuri huyu bwana mdogo!
Ndivyo ilivyo sasa Mess anachofanya ni kutoa personal option tu sio decision. Barc n taasisi kubwa sana na kila kitengo kina mtu mwenye taaluma nacho.

Tunachoangalia ni hayo maoni yake kama yapo sahihi au laa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom