A man with no name
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 1,131
- 1,598
Bora hata kama Denis yupo katika kikosi
Sisi sio wanaz wala wahafidhina wasopendaMTU umpendaye huwezi kumuita mpumbavu.
Naona wamekusikia mkuuBora hata kama Denis yupo katika kikosi
Sisi na nani? Mko group la kumshambulia Meneja? Meneja anayeongoza La liga kwa tofauti ya pwenti 10. Hasimu wake RMA kapitwa pwenti zaidi ya 15( mechi 5+)Sisi sio wanaz wala wahafidhina wasopenda
Tunaipenda timu hatumpendi mtu
Akizingua kocha,mchezaj,au managemnt tunakosoa tu
Hyo tabia ya kutetea kila coz of uhafidhina na unaz kaa nayo kulekule kwny siasa zenu za kijinga
Hapa we call a spade a spade
MIND U
HUNA HATIMILIK YA TIMU
Sisi na nani? Mko group la kumshambulia Meneja? Meneja anayeongoza La liga kwa tofauti ya pwenti 10. Hasimu wake RMA kapitwa pwenti zaidi ya 15( mechi 5+)
Na timu imeshinda ugenini kwa clean sheet.
Hapana.

Mkuu naomba unijuze hiyo option ya kubadili lughaKuna option ya kuchagua lugha,usipate shida kiongozi,ila Mimi nilishawahama kitambo sana
kwenye ukweli tuseme,Messi wakati team ina struggle inabidi apunguze kutumia akili goal likiwa at his mercy-jana ilitakiwa Messi nae apate goal.Team ikiwa kwenye cruise control hapo ruksa aufanye mpira anavyotakasuarez lazima atafutiwe mtu wa kumpa pressure pale mbele amekuwa mzito sana aisee lazima tukubali......
kwenye ukweli tuseme,Messi wakati team ina struggle inabidi apunguze kutumia akili goal likiwa at his mercy-jana ilitakiwa Messi nae apate goal.Team ikiwa kwenye cruise control hapo ruksa aufanye mpira anavyotaka
Ahsante Modoro maana Tanesco wamenianhusha kwa kweli
Yani yule neymoney bora tumeuza maana chenga nyingi sana hazina faida
Usharobaro unamsumbua sana, ndiyo maana Messi alisema Barcelona imekuwa bora baada ya yeye (Neymar) kuondoka!
Ni app mkuuModoro ni app au site?
Ktk ios ni app gani naweza tumia? Maana modoro siioniNi app mkuu
Search kwenye Google kawaida utaiona ndio uta instalKtk ios ni app gani naweza tumia? Maana modoro siioni
Inakuja mobdro, ndio hiyo hiyo au?Search kwenye Google kawaida utaiona ndio uta instal
Yaahh ndio hiyo mkuuInakuja mobdro, ndio hiyo hiyo au?
PouwaYaahh ndio hiyo mkuu
Vipi usha install?Pouwa
Nataka niinstal mida ya popo, ili niitest kabisa, vipi kuna vya kufwata?Vipi usha install?