Haya ni maneno ya vijiweni tu!
Messi hapangi kikosi, wala Messi hayumo kwenye board ya usajili.
Inaweza kua personal opinion tu, ila sio decision.
Dembele anahitaji kupona vizuri ndo arudi uwanjani, hii ni mechi ngumu na inahitaji experience pia.
Otherwise, kwa wanaosema tumepoteza hela kwa dembele naamini hamumjui vizuri huyu bwana mdogo!
dembele hana kipaji cha kutisha nimemuona toka yupo dortmund mkuu jamaa walijua tuna mzigo wa maana ndio walikuwa wanatupandishia dau