Jacklinie njoo utoe majibu huku, naamini wewe utakuwa na taarifa kiasi kama sio fullAnaeweza kunipa majibu anijibu
Kwann Valdeve hamchezeshi Denis kamkosea nn naona hata kwa kikosi hayupo
Kuna na mwenzie wa kuitwa Paco Alcacer huyu jamaa simwelewagi kabisa uwanjani kama game iliopita niliona anazurura tu uwanjani hajulikani ata number ngapi kwenye ile match
Hahaaaaa yaani huyu jama nadhani atakuwa mchawi ma kocha wanampenda balaa. Enrique nae alikuwa ana mwelewa sanaKuna na mwenzie wa kuitwa Paco Alcacer huyu jamaa simwelewagi kabisa uwanjani kama game iliopita niliona anazurura tu uwanjani hajulikani ata number ngapi kwenye ile match
Hawa jamaa ni zururujiKuna na mwenzie wa kuitwa Paco Alcacer huyu jamaa simwelewagi kabisa uwanjani kama game iliopita niliona anazurura tu uwanjani hajulikani ata number ngapi kwenye ile match
Hahaha hatari sana sema natamani hii match, Messi na Iniesta wasicheze wapumzike kwa ajili ya game na Chelsea.....waanze Dembele, Coutinho na Suarez pale mbele nione nao moto wao, natamani pia Pique apate majeraha tena nione combination matata ya Yerry Mina na Umtiti kwa mda mrefu.Hawa jamaa ni zururuji
Hahaha hatari sana sema natamani hii match, Messi na Iniesta wasicheze wapumzike kwa ajili ya game na Chelsea.....waanze Dembele, Coutinho na Suarez pale mbele nione nao moto wao, natamani pia Pique apate majeraha tena nione combination matata ya Yerry Mina na Umtiti kwa mda mrefu.
Ligi uhakika wa kuchukua mkubwa sana maana wapinzani wetu ambao wangekua karibu yetu tungekua na hofu ni Real Madrid ila Atletico Madrid ni kama Valencia tu sio timu za kututia pressure tuwe roho juu haziaminikagi. Angalia Valencia alianza na moto wa ajabu sahivi kampita Real Madrid kwa point 1 uku Real Madrid ana match moja mkononi.mkuu hapo kuna vitu natofautiana na wewe kidogo kuhusu messi na pique, kumbuka tumetoa draw mbili mfululizo kwa hiyo kesho ni lazima tushinde ili confidence irudi
Kwani Penaldo anashiriki Laliga?![]()
Hivi messi anashiriki. UCL
Wacheze, hii game ni muhimu sana hasa tukishinda maana ni kipimo pia cha maandalizi ya kukipiga na Chelseamkuu hapo kuna vitu natofautiana na wewe kidogo kuhusu messi na pique, kumbuka tumetoa draw mbili mfululizo kwa hiyo kesho ni lazima tushinde ili confidence irudi
Mkuu Gomez hayupo kwenye kikosi cha leoTuungane kwa sala kila mmoja kwa imani yake tumuombee kocha wetu asimuanzishe Gomes
Kabisa hata mm nataka wacheze hasa messi lkn pique kama bado hakuna shida Mina yupoWacheze, hii game ni muhimu sana hasa tukishinda maana ni kipimo pia cha maandalizi ya kukipiga na Chelsea
Bado mkuuFirst eleven imetoka ya leo?