Monasha
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 563
- 423
Hivi Denis Suarez kwann hacheziKuna na mwenzie wa kuitwa Paco Alcacer huyu jamaa simwelewagi kabisa uwanjani kama game iliopita niliona anazurura tu uwanjani hajulikani ata number ngapi kwenye ile match
