Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,018
Ndio. 1 kavuGame limeisha
Ndio. 1 kavuGame limeisha
Ngoja nisherehekee kwanza nitarudi baadae. Siyo kwa furaha hii duuh.Ndio. 1 kavu

Tuna watu wa kila ainaDraw imekuja kuja vipi wazee mbona sikutegemea!
Naona wachezaji walikuwa "exhausted" kwenye game ya Copa Derey na Valencia. Inaweza ikawa imechangia kupata Draw hii Leo...Draw imekuja kuja vipi wazee mbona sikutegemea!
Kweli kabisa Mkuu. Ila wamejituma sana hasa ukizingatia walitumika saana kwenye game ya Kopa Direy na Valencia juzi kati.Tuna watu wa kila aina
But nadhan tunatakiwa tubadlke kulingana na game ynyw
Haina maaana kumilki mpira kwa asilima sabin huko ilhal hakuna goal kwa dk 90
ila hata kushambulia tumeshambulia sana. najua tutakuwa nashots nyingi sana on target. naona nayo ni game tu ilikataa. ila dogo Dembele naona bado hayupo sawa.Tuna watu wa kila aina
But nadhan tunatakiwa tubadlke kulingana na game ynyw
Haina maaana kumilki mpira kwa asilima sabin huko ilhal hakuna goal kwa dk 90
Si haba mkuuila hata kushambulia tumeshambulia sana. najua tutakuwa nashots nyingi sana on target. naona nayo ni game tu ilikataa. ila dogo Dembele naona bado hayupo sawa.
Dembele bado mtotoila hata kushambulia tumeshambulia sana. najua tutakuwa nashots nyingi sana on target. naona nayo ni game tu ilikataa. ila dogo Dembele naona bado hayupo sawa.
Hapana mkuu wala usijali atabadilika ad hutoamini maneno yako. Katoka majeruhi tumpe mda mana bado hajiamini hajiamini kama game ya leo. Kucheza timu kama ya Barcelona nalo sio jambo la mchezo ukiangalia uku Messi, uku Suarez uku Iniesta lazima utetemeke.wakati mwingine nawaza hile 90 tuliotoa kwa dembele nyingi sana aiseeeee
Wakuu atletico ametubakiza 7 points tusipokuwa makini ubingwa tutausikia kwenye redio valverde anazingua mno sijaona cha zaidi alichonacho paco kinachomuweka nje Denis Suarez hata mpka sasa sijaona mpira mkubwa wa Dembele wa kumuweka benchi Denis nje ifike wakati tuviamini vya kwetu Denis ni mchezaji mjanja mjanja mno lakn paco ni mpole hana madhara yeyote Yale akiwa uwanjani yupo kama kafiwa alfu kocha anampiga. Kwakweli valverde anazingua
MkuuWakuu atletico ametubakiza 7 points tusipokuwa makini ubingwa tutausikia kwenye redio valverde anazingua mno sijaona cha zaidi alichonacho paco kinachomuweka nje Denis Suarez hata mpka sasa sijaona mpira mkubwa wa Dembele wa kumuweka benchi Denis nje ifike wakati tuviamini vya kwetu Denis ni mchezaji mjanja mjanja mno lakn paco ni mpole hana madhara yeyote Yale akiwa uwanjani yupo kama kafiwa alfu kocha anampiga. Kwakweli valverde anazingua
Nakuhakikishia mechi zijazo tutashinda Mkuu. Alafu bado games kama mbili au tatu hivi tukutane nao Atletico wenyewe, tena wanatufuata home.Mkuu
Nkusaidie hapo
Kwa kifupi tukizingua mechi mbil zingine tu imetafuna kwetu
Usharobaro unamsumbua sana, ndiyo maana Messi alisema Barcelona imekuwa bora baada ya yeye (Neymar) kuondoka!Yani yule neymoney bora tumeuza maana chenga nyingi sana hazina faida