FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hii line up sijui kama tutatoboa. Siku ile Digne walipoanza na Semedo tulikamatwa na game ilikuja badilika tulipofanya changes. Alba na Roberto ni watu muhimu sana kwa game hii ngumu. Kocha kadharau game. King pia bench.
Kocha wetu yuko "very technical". Kumbuka wiki ijayo tutakuwa na game ngumu dhidi ya Valencia (Copa Deray) nyumbani kwao.

Kwa line up hii iko powa madamu J.Alba na Messi10 wako benchi. So mambo yakienda kombo sana lazima waingie kuokoa jahazi.

Lakini kama mambo yataenda poa hamna haja ya kuingia na tutakuwa tumejiweka vizuri muno dhidi ya Valencia wiki ijayo...
 
Kocha wetu yuko "very technical". Kumbuka wiki ijayo tutakuwa na game ngumu dhidi ya Valencia (Copa Deray) nyumbani kwao.

Kwa line up hii iko powa madamu J.Alba na Messi10 wako benchi. So mambo yakienda kombo sana lazima waingie kuokoa jahazi.

Lakini kama mambo yataenda poa hamna haja ya kuingia na tutakuwa tumejiweka vizuri muno dhidi ya Valencia wiki ijayo...
Refarii anahusikaje hapa mkuu
 
Kocha wetu yuko "very technical". Kumbuka wiki ijayo tutakuwa na game ngumu dhidi ya Valencia (Copa Deray) nyumbani kwao.

Kwa line up hii iko powa madamu J.Alba na Messi10 wako benchi. So mambo yakienda kombo sana lazima waingie kuokoa jahazi.

Lakini kama mambo yataenda poa hamna haja ya kuingia na tutakuwa tumejiweka vizuri muno dhidi ya Valencia wiki ijayo...
Kikosi kimenitisha sana hasa pale mbele ila kwa hayo maelezo yako kama nimekuelewa na umenishawishi.
 
King Messi leo anaanzia bench
0e2bae3003eceb45ac95dc44fcaeb413.jpg
 
Valverde yuko sahihi kwa hiki kikosi.

Espanol hua wancheza brutally sana wakikutana na Barcelona!

For the mean time, hatuko tayari kuwapoteza key players kwa injury zisizo za lazima.

Laliga tumeshashinda tayari, nguvu kubwa inaelekezwa UCL na copa d ray.

Nafikiri mnafahamu kama Messi akipata injury sasa hivi nini kitatukuta.

Ni bora tupoteze hii mechi kuliko kuruhusu injury zitakazo tucost the bigger victories!
 
Valverde yuko sahihi kwa hiki kikosi.

Espanol hua wancheza brutally sana wakikutana na Barcelona!

For the mean time, hatuko tayari kuwapoteza key players kwa injury zisizo za lazima.

Laliga tumeshashinda tayari, nguvu kubwa inaelekezwa UCL na copa d ray.

Nafikiri mnafahamu kama Messi akipata injury sasa hivi nini kitatukuta.

Ni bora tupoteze hii mechi kuliko kuruhusu injury zitakazo tucost the bigger victories!
Umechambua vema saana
 
Valverde yuko sahihi kwa hiki kikosi.

Espanol hua wancheza brutally sana wakikutana na Barcelona!

For the mean time, hatuko tayari kuwapoteza key players kwa injury zisizo za lazima.

Laliga tumeshashinda tayari, nguvu kubwa inaelekezwa UCL na copa d ray.

Nafikiri mnafahamu kama Messi akipata injury sasa hivi nini kitatukuta.

Ni bora tupoteze hii mechi kuliko kuruhusu injury zitakazo tucost the bigger victories!
Kupoteza noma mkuu maana tumeshazoea kushinda toka ligi ianze

Pia kuna record mpya hapa inatafutwa leo mana barc wasipopoteza kocha atakua kaandika record yake mpya ya idadi ya game bila kupoteza.

Alafu na mikeka itazingua kiongozi wangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom