vous
JF-Expert Member
- Dec 15, 2017
- 657
- 649
Madogo walkuja kuzuia wasifungwe mengiVitoto viliziba mianya.halafu counter zao zilikuwa hatari
So wamefanikiwa
Madogo walkuja kuzuia wasifungwe mengiVitoto viliziba mianya.halafu counter zao zilikuwa hatari
Mechi zq nyumbani zitakuwa ngumu cause tteam zina defend na mtu 9 alaafu zinabahatisha na counter attack. Velverde inabidi aliangalie swala hiliMadogo walkuja kuzuia wasifungwe mengi
So wamefanikiwa
NaniMkuu
Wamecheza mpira kwan na wao????
Espanyol, away.
Hii gemu nayo ni tricky...
Yeah haha nadhani hamnaga duniani anapiga Volley kama SuarezVolley master Luis suarez
Barcelona wanatakiwa waanze kuandaa "Messi" mwingine atakayerithi mikoba ya huyu...hivi messi ni binadamu wa kawaida kweli?
hao pundits wanazingua gaucho ilifaa ndo awe mwanasoka bora wa miaka yote
hivi messi ni binadamu wa kawaida kweli?
Ndiyo mwanasoka pekee mwenye tuzo 6 katika soka
Barcelona wanatakiwa waanze kuandaa "Messi" mwingine atakayerithi mikoba ya huyu...
Ni binadamu lakini siyo wa kawaida. Ni kutoka sayari nyingine huyo.hivi messi ni binadamu wa kawaida kweli?
hivi messi ni binadamu wa kawaida kweli?
Kijana uichambua vizuri sana hadi nmejikuta nmepiga screen shoot, nahis tupo kwenye field moja of studyNi binadamu lakini siyo wa kawaida. Ni kutoka sayari nyingine huyo.
Kama ningekuwa na uwezo, ningeruhusu wazee wa Genetic Engineering watutengezee kopi ya Messi10 kwenye Maabara.
Na hili linawezekana, kwa maarifa yangu kidogo niliyonayo, sayansi hiyo inaitwa "Cloning". "Cloning" ni mchakato wa kutengeneza kopi sawa (identical copy) ya kiumbe hai (organism), seli au dutu (gene) kutokana na kiumbe, seli au dutu (gene) halisi (original).
Kiumbe hai, seli au dutu (gene) sawa (identical) inayopatikana kutokana na kiumbe hai, seli au dutu (gene) halisi (original) huitwa "clone".
"Cloning" hufanyikaje?, seli ya kawaida (somati cell) yenye "chromosomes 46" huchukuliwa toka sehemu ya mwili, isiwe "sex cell" kutoka kwenye kiumbe, cell au dutu (gene) halisi (original) (hapa, somatic cell lazima itolewe kwenye mwili wa Messi10) ili kupata kopi ya Messi10) (clone) ili kutengeneza kopi yake.
Baada ya hapo, inachukuliwa "female sex cell" yenye "chromosomes 23" kutoka kwa kiumbe hai chochote (kwa kesi hii hapa lazima awe binadamu).
Kisha, zile chromosomes 23 ktk "female sex cell" zote zinatolewa linabaki kasha tu. zoezi linalofuata, huwa ni kuchukua zile "chromosomes 46" kutoka kwenye "somatic cell" na kuzi-fix (kuziweka) ndani ya lile kasha la "female sex cell".
Mwisho, upandikizaji (implantation) wa hiyo "female sex cell" (ikiwa na zile "chromosomes 46" zilizowekwa baada ya kutolewa kwenye "somatic cell") hufanyika katika mji wa mimba mfumo wa uzazi wa mwanamke.
Mwanamke huyo atakuwa ana ujauzito kama ule unaopatikana kwa njia ya kawaida. Na baada ya miezi 9 atajifungua kopi ya Messi10 kwa 100% kwa sababu "chromosomes 46" zote zimetokana na yeye mwenyewe.
NB: International conventions kuhusu haki za binadamu haziruhusu hii kitu. So, its an illegal and strictly prohibited.
Au cyo Mkuu. Kati ya field ambazo ni very interesting in terms of practical and applications, Genetic Engineering ni moja wapo. Komaa Mkuu, binafisi siku specialize huko, nina ABC tu.Kijana uichambua vizuri sana hadi nmejikuta nmepiga screen shoot, nahis tupo kwenye field moja of study
Pamoja sana mkuuAu cyo Mkuu. Kati ya field ambazo ni very interesting in terms of practical and applications, Genetic Engineering ni moja wapo. Komaa Mkuu, binafisi siku specialize huko, nina ABC tu.
Anaipenda sana BarcaKwanini ametoa maneno makali ivyo?