A man with no name
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 1,131
- 1,598
Allah lahaulahDaaah goalkeeper ameokoa
Pacheco Pacheco
Allah lahaulahDaaah goalkeeper ameokoa
Napenda kuwa mshabik wa barçaKabisa. But kipindi cha pili tutawapiga tu.
Amepiga save za clear goals kama 4 hivi mzeeAllah lahaulah
Pacheco Pacheco
FinallyWatoto wamekaza
Pacheco Pachecokipa alijitahidi kuzuia freekick za messi mwisho wa siku akaona haina maana
Kama kawaLeo Barcelona vipi...?
Unakata tamaa kwa barça???Nimekata tamaa ndio goli linaingia!
Messi alnfurahishaMessi....... ha ha dk ya 83'
Watu vipi Neymar unamuweza Messi...aaah am still struggling for Cavani's shadow
Perfect free kick
Vitoto viliziba mianya.halafu counter zao zilikuwa hatariUnakata tamaa kwa barça???
MkuuAlves wamecheza mpira mzuri na wametukamata kati pale kipindi ya kwanza kilichosaidia ni kuingia kwa Alba na Sergio
Karibu sana MkuuNapenda kuwa mshabik wa barça
Si kwa ukuta ule wa madogo asee!!! Sina hamu nao, walikuwa wengi kule nyuma na kazi yao ilikuwa ni kuzuia pasi zote, S.Roberto na J.Aliba wamefanya kazi ya ziada. Thanks kwa Suarez na Messi10.Alves wamecheza mpira mzuri na wametukamata kati pale kipindi ya kwanza kilichosaidia ni kuingia kwa Alba na Sergio
Perfect observation...Kusema kwel mpira umechezwa wakutosha sema tu, walikuwa vizuri kuzuia penetrating passes zetu, af kipa kawasaidia sana, vinginevyo wangeoga mengi sana
Espanyol, away.Who’s next?