Watanzania wenzangu na viongozi wa Nchi hii, hebu tufanye tafakari ya kina juu ya sheria ya mifuko ya jamii na kauli za viongozi Wetu juu ya ajira nchini.
Nitoe nadharia ili kila mmoja Wetu asome atumie kama base ya tafakuri.
''Mwezi uliopita kuna taasisi moja hapa nchini ilipunguza wafanyakazi takribani 25 sababu ikiwa ni kuzorota kwa biashara kwa taasisi hiyo.
Vijana hawa 25 wakiwa katika hali ya kupoteza huko ajira wanakutana na kauli ya viongozi kua vijana mjiajiri maana ajira hakuna.
Vijana hawa wanaenda NSSF ambako kuna mafao yao wanakutana na sheria kua watapatiwa 33% ya salary waliyokua wakipokea kila mwezi kwa miezi Sita tu. Kwa nini?
Kwa sababu waliotunga hiyo sheria wana imani kua katika kipindi cha miezi hyo Sita utakua umepata ajira.
Ajira ipi na serikali imesema hakuna ajira? Basi kujiajiri, najiajiri vipi na hamtaki kunipa hiyo hela yangu yote nikafanye mtaji? Sisi tunafuata sheria.
WATANZANIA WENZANGU! Uongozi tuwape viongozi, UONGOZI tusiwape wanasiasa.
Nitoe nadharia ili kila mmoja Wetu asome atumie kama base ya tafakuri.
''Mwezi uliopita kuna taasisi moja hapa nchini ilipunguza wafanyakazi takribani 25 sababu ikiwa ni kuzorota kwa biashara kwa taasisi hiyo.
Vijana hawa 25 wakiwa katika hali ya kupoteza huko ajira wanakutana na kauli ya viongozi kua vijana mjiajiri maana ajira hakuna.
Vijana hawa wanaenda NSSF ambako kuna mafao yao wanakutana na sheria kua watapatiwa 33% ya salary waliyokua wakipokea kila mwezi kwa miezi Sita tu. Kwa nini?
Kwa sababu waliotunga hiyo sheria wana imani kua katika kipindi cha miezi hyo Sita utakua umepata ajira.
Ajira ipi na serikali imesema hakuna ajira? Basi kujiajiri, najiajiri vipi na hamtaki kunipa hiyo hela yangu yote nikafanye mtaji? Sisi tunafuata sheria.
WATANZANIA WENZANGU! Uongozi tuwape viongozi, UONGOZI tusiwape wanasiasa.