MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,870
- 6,278
Habari wadau.
Ukweli mchungu soko la mwenza wa ndoa limekuwa gumu sana Tanzania hasa kwa watu wanaojielewa na waliojipata.
Mtu kuoa ama kuolewa anatazama mwenza wake yukoje , kwao anapotoka pakoje, na ndugu zake ama ukoo wake ukoje? Je wana maisha ya kujitegemea.
Yale mambo ya kuoa mwanamke kisha wadogo zake wote wanaamia kwake na wazazi wanataka wajengewe hapo hapo na nyinyi familia changa watu hawayataki
Now days wanawake wanaotoka familia mambo safi zenye maisha ndio wana soko kubwa la kuolewa
Pia wanaume wanaotoka familia zenye maisha na mambo safi wana soko kubwa la kuoa wanayemtaka.
Career ya mtu pia ni factor kubwa kwenye soko la kuoa ama kuolewa.
Mfano Mc wa harusi namba moja Tanzania jina Kapuni alikuwa na mchumba wake waliefikia stage ya kuzaa mtoto kabisa mwanzoni mwa miaka ya 2010s. ila kwenye kuoa aligoma kumuoa huyo binti sababu kwao na binti hapaeleweki kumejaa wavivu.. wategemezi wapo wengii . Akaona hawezi kujitishwa mzigo wa majukumu.
Akaenda kusaka demu anaetoka mambo safi, mtoto wa Dr wa chuo kikuu cha taifa akaoa.
Huo ni mfano mmojawapo ila ipo mingi sana.
Soko la ndoa zama hizi kila upande unaogopa wategemezi wengi.
Wakaka na wadada tujitahidi kubebana familia zetu kupunguza utegemezi. La sivyo mabinti zetu ndoa watakuwa wanaziona kwa wenzao tu.
Nowdays ngumu sana kuona mtoto wa baba CEO kama kimei anaoa mtoto wa mkulima.
Wenye maoni mnaweza ongezea mawazo yenu.
Ukweli mchungu soko la mwenza wa ndoa limekuwa gumu sana Tanzania hasa kwa watu wanaojielewa na waliojipata.
Mtu kuoa ama kuolewa anatazama mwenza wake yukoje , kwao anapotoka pakoje, na ndugu zake ama ukoo wake ukoje? Je wana maisha ya kujitegemea.
Yale mambo ya kuoa mwanamke kisha wadogo zake wote wanaamia kwake na wazazi wanataka wajengewe hapo hapo na nyinyi familia changa watu hawayataki
Now days wanawake wanaotoka familia mambo safi zenye maisha ndio wana soko kubwa la kuolewa
Pia wanaume wanaotoka familia zenye maisha na mambo safi wana soko kubwa la kuoa wanayemtaka.
Career ya mtu pia ni factor kubwa kwenye soko la kuoa ama kuolewa.
Mfano Mc wa harusi namba moja Tanzania jina Kapuni alikuwa na mchumba wake waliefikia stage ya kuzaa mtoto kabisa mwanzoni mwa miaka ya 2010s. ila kwenye kuoa aligoma kumuoa huyo binti sababu kwao na binti hapaeleweki kumejaa wavivu.. wategemezi wapo wengii . Akaona hawezi kujitishwa mzigo wa majukumu.
Akaenda kusaka demu anaetoka mambo safi, mtoto wa Dr wa chuo kikuu cha taifa akaoa.
Huo ni mfano mmojawapo ila ipo mingi sana.
Soko la ndoa zama hizi kila upande unaogopa wategemezi wengi.
Wakaka na wadada tujitahidi kubebana familia zetu kupunguza utegemezi. La sivyo mabinti zetu ndoa watakuwa wanaziona kwa wenzao tu.
Nowdays ngumu sana kuona mtoto wa baba CEO kama kimei anaoa mtoto wa mkulima.
Wenye maoni mnaweza ongezea mawazo yenu.