Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,015
- 12,282
Binafsi machalii wa sasa siwaelewi kabisa kama wapo tayari kwa ndoa au wanaigiza?
Sio wanaume sio wanawake yaani wote wanafanana ni kama kichaa na mwendawazimu wamekutana pamoja kuanzisha familia.
Hizi ndoa za machalii wa sasa ni kama wanavutana karibu ili kuwa na uhuru wa kufanya ngono.
Unaona dogo wa kiume anaenda kutoa posa kavaa pensi kasuka na vimisokoto vya bhange kichwani unajiuliza huyu janja anajitambua kweli anaenda wapi na yupo wapi?
Wengine unakuta ni kijana mkubwa kabisa wa miaka 30+ lakini lifestyle yake ya kipuuzi puuzi anakuletea wazo la anataka kuoa na yupo serious kweli ila ukitazama maisha yake ni kama mtoto mdogo yamejaa upuuzi.
Mabinti nao ni kama malaya anaye stiriwa kwa ndoa, mabinti wa sasa kama wendawazimu maisha yao yamejaa ujinga ujinga.
Machalii wanaona kama kuoa na kuoana ile sherehe tayari wamekwisha maliza maisha wanasahau ndoa ni safari ndefu.
Hawa madogo wanakuja kukuomba ushauri wa ndoa unaweza tamani kuwalamba vibao kwa jinsi waliyo wapuuzi.
Sio wanaume sio wanawake yaani wote wanafanana ni kama kichaa na mwendawazimu wamekutana pamoja kuanzisha familia.
Hizi ndoa za machalii wa sasa ni kama wanavutana karibu ili kuwa na uhuru wa kufanya ngono.
Unaona dogo wa kiume anaenda kutoa posa kavaa pensi kasuka na vimisokoto vya bhange kichwani unajiuliza huyu janja anajitambua kweli anaenda wapi na yupo wapi?
Wengine unakuta ni kijana mkubwa kabisa wa miaka 30+ lakini lifestyle yake ya kipuuzi puuzi anakuletea wazo la anataka kuoa na yupo serious kweli ila ukitazama maisha yake ni kama mtoto mdogo yamejaa upuuzi.
Mabinti nao ni kama malaya anaye stiriwa kwa ndoa, mabinti wa sasa kama wendawazimu maisha yao yamejaa ujinga ujinga.
Machalii wanaona kama kuoa na kuoana ile sherehe tayari wamekwisha maliza maisha wanasahau ndoa ni safari ndefu.
Hawa madogo wanakuja kukuomba ushauri wa ndoa unaweza tamani kuwalamba vibao kwa jinsi waliyo wapuuzi.