Dra Maxie
Senior Member
- Dec 9, 2022
- 143
- 215
Utasikia tu:
Ndoa ni heshima kwa wazazi
Ndoa ni heshima kwenye jamiii
Ndoa ni heshima kanisani
Na hata mtu akitaka kuvunja et anawaza
Nitaonekanaje mtaani
Nitawaaibisha wazazi wangu
Kwa maana iyo wanawake weng wameolewa kwa ajili watu na sio mapenzi yao na laiti kma kusingekuwa na mitazamo negative kwa wasioolewa huenda wengi wasingejiingiza kwenye ndoa.
Ndoa ni heshima kwa wazazi
Ndoa ni heshima kwenye jamiii
Ndoa ni heshima kanisani
Na hata mtu akitaka kuvunja et anawaza
Nitaonekanaje mtaani
Nitawaaibisha wazazi wangu
Kwa maana iyo wanawake weng wameolewa kwa ajili watu na sio mapenzi yao na laiti kma kusingekuwa na mitazamo negative kwa wasioolewa huenda wengi wasingejiingiza kwenye ndoa.