Fahamu utajiri wa kudumu uliojificha kwenye zao la Parachichi Mkoani Njombe

Ndugu wanajamii habari ni,
Naomba mwenye uelewa wowote juu ya kilimo, biashara ( soko) ya parachichi anielekeze hapa
 
Kununua Shamba 150,000/=
Kusafisha Shamba 40,000/=
Miche 3,000x70= 210,000/=
Kupanda 2,000x70=140,000/=
Mbolea = 150,000/=

TOTAL KWA HEKA 690,000/=
Hii sio kweli, gharama za kutunza shamba mbona hujaweka? Nijuavyo parachichi linahitaji mbolea at least Mara mbili kwa mwaka, madawa ya ukungu wadudu etc. Pia zao linaitaji kumwagilia hawa kipindi cha kiangazi, kupalilia kama utataka.matokeo chanya.
 
Habari janvini
Kama Bado hujasajiri kampuni.
Karibu ntakusajiria kwa chapu. Bei nzuri kabisa.
Pia huduma ya
- kuandaa mahesabu ya kodi
-mchanganuo wa Biashara
- kusaidia kupata leseni ya biashara
Ushauri bure
Karibuni nyote
View attachment 1596079
 
Inatakiwa uwe na kiasi gani Cha pesa,kwa ajiri ya kutunza mpaka mavuno ya hekari moja ya parachichi?
Habari ya majukumu wakuu. Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.

Maparachichi ni matunda bustanini na mashambani. Maparachichi yana matumizi mengi yenye faida kubwa kwa wakulima na wadau wengine.

Maparachichi ni chakula chenye viini lishe bora kama vitamini {A, B2, C, D, E, K} na madini {P, K,Mn, S} ambavyolinda mwili , mafuta kwa wingi asilimia 5 mpaka 30ambayo huleta joto mwilini, protin asilimia 1 mpaka 5ambayo hujenga mwili na kiasi cha colories 250 ambayo huleta nguvu mwilini.

Tofauti na matunda mengine, maparachichi ni malighafi ya viwandani kutengenezea madawa ya ngozi pamoja na vipodozi mfano mafuta ya nywele, shampoo na sabuni. Vilevile majani yake na mbegu hutumika kama dawa.

Aina bora za parachichi ambazo zimefanyiwa utafditi na kukubalika kwa wakulima na walaji ni pamoja na HASS, FUERTE, WEISAL IKULU, MWAIKOKESYA, EX TENGERU NA NABALI. Aina hizi zinazaa matunda mengi na bora pia huchukua muda mfupi kukomaa . kiasi chs matunda kwa mti ni klati ya 300 hadi 800 kutegemeana na matunda

Njia bora ya kuzalisha miche ya maparachichini kwa njia ya vikonyo. Faida zinazotokaana na njia hii ni

Miti kuchukua muda mfupi kukomaa na kuzaa matunda {miaka 3}
Miti huwa na umbo na urefu wa wastani
Kuepusha magonjwa hasa virus
Miche mingi kuzalishwa kwa wakati mmoja

HATUA ZA KUFUATA KABLA YA KUZALISHA MICHE KWA NJIA YA VIKONYO
1. Kuzalisha miche ya kubebeshea vikonyo kutokana na mbegu
2. Kubebesha vikonyo kwenye miche. Vifaa vinavyohitajika ni mifuko ya plastiki yenye kipenyo cha 5 -6 na urefu wa 5-6, udongo safi usio na magonjwa hasa wa msituni, samadi, mchanga/pumba za mchele kwa uwiano wa 3;1;1, mbolea ya TSP
3. Andaa kitalu sehemu wazi na tengeneza kichanja ili kuzuia jua na mvua
4. Changanya udongo na jaza kwenye viliba
5. Panda mbegu kwenye viliba
6. Uwagilia maji
7. Baada ya wiki 2-3 mbegu zitaanza kuota
8. Tunza miche hadi kufikia umri wa kubebeshwa miezi 3-4 au unene wa penseli. ZINGATIA ukuaji wa miche hutegemea hali ya hewa

JINSI YA KUBEBESHA VIKONYO
Ni muhimu kuchagua tawi zuri kwenye mti uliokomaa na kuzaa matunda ili kuharakisha kukomaana kuzaa matunda kwa mti uliobebeshwa, usichsgue kikonyo chenye maua, kikonyo kikianza kuchipua hakifai kwa kubebesha kwa sababu ni kichanga.
miche inayobebeshwa itoke kwenye jamii moja
  • Urefu wa kikonyo uwe sm 15-20 na chonga kikonyo bapa sm 2-3
  • Mche wa kubebeshea kikonyo ukatwe juu kwenye shina sm 20-25kutoka usawa wa udongo na kata kipenyo cha sm 2-3
  • Urefu wa kikonyo ulingane na urefu wa bapa la kikonyo
  • Sehemu ya mmea yenye mirija ya kupitisha chakula na maji zihakikishwe zinaungana
  • Fungia vizuri kikonyo kwenye shina na mkanda [strip] wa nailoni nyeupe. Tendo hili lifanyike kwenye mazingirea safina haraka ili utomvu kwenye bapa na kipenyo usikauke
  • Funika mche na mfuko wa nailoni nyeupe inayopitisha mwanga mradi isiwe nyeusi
Baada ya wiki 2-3 vikonyo vilivyopona vitaanza kuchipua. Tunza miche ya kitaluni kwa kumwagilia maji na kuondoa machipukizi'

UCHIMBAJI WA MASHIMO
Pima nafasi za kupanda ambazo ni 6m kwa 5m, 6m kwa 6m au 6m kwa 8m. Tenganisha udongo wa wa chini na wa juu. Changanya udongo wa juu na samadi. Rudisha udongon wa juu kwenye shimo. Weka kijiti katikati ya shimo. Rudisha udongo wa chini. Panda miche wakati wa masika. Chagua miche yenye afya nzuri. Fungua mikanda ya nailoni iliyounganisha shimo nsa kikonyo wiki 2-3 baada ya kupanda mche

SHUGHULI NYINGINE MUHIMU NI:
Palizi, kumwagilia maji, kuondoa machipukizi na kuzuia magonjwa na wadudu

MAVUNO YA PARACHICHI NA FAIDA YAKE
Mche mmoja wa parachichi aina ya HASS huanza kwa kutoa kg 40 mpaka kg 60 kwa mavuno yake kwa msimu wa kwanza. Bei ya soko kwa sasa KAMPUNI YA AGRIWORTH TANZANIA tununua kutoka kwa mkulima shambani tsh 1500 KWA KG 1. Hivyo 1500 zidisha kwa kg 40 =60000 kwa mche mmoja kwa kadirio la chini

Ekari moja hupandwa miche 70. MICHE 70 zidisha kwa 60000= 4200000.
Soko la parachini ni kubwa sana duniani kwa sasa.

Miche hii hudumu zaidi ya miaka 50 ya mavuno yake shambani

KWA MAHITAJI YA SHAMBA ZA KILIMO CHA PARACHICHI MKOA WA NJOMBE
Bei ya shamba ni tsh 150,000= kwa ekari moja mkoano Njombe. Ofisi zetu zipo mkoani Njombe. Pia tunatoa huduma ya usimamizi wa shamba mpaka kipindi cha mavuno kwa walio tayari kusimamiwa shughuli zao na kampuni
 
Habari ya majukumu wakuu. Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.

Maparachichi ni matunda bustanini na mashambani. Maparachichi yana matumizi mengi yenye faida kubwa kwa wakulima na wadau wengine.

Maparachichi ni chakula chenye viini lishe bora kama vitamini {A, B2, C, D, E, K} na madini {P, K,Mn, S} ambavyolinda mwili , mafuta kwa wingi asilimia 5 mpaka 30ambayo huleta joto mwilini, protin asilimia 1 mpaka 5ambayo hujenga mwili na kiasi cha colories 250 ambayo huleta nguvu mwilini.

Tofauti na matunda mengine, maparachichi ni malighafi ya viwandani kutengenezea madawa ya ngozi pamoja na vipodozi mfano mafuta ya nywele, shampoo na sabuni. Vilevile majani yake na mbegu hutumika kama dawa.

Aina bora za parachichi ambazo zimefanyiwa utafditi na kukubalika kwa wakulima na walaji ni pamoja na HASS, FUERTE, WEISAL IKULU, MWAIKOKESYA, EX TENGERU NA NABALI. Aina hizi zinazaa matunda mengi na bora pia huchukua muda mfupi kukomaa . kiasi chs matunda kwa mti ni klati ya 300 hadi 800 kutegemeana na matunda

Njia bora ya kuzalisha miche ya maparachichini kwa njia ya vikonyo. Faida zinazotokaana na njia hii ni

Miti kuchukua muda mfupi kukomaa na kuzaa matunda {miaka 3}
Miti huwa na umbo na urefu wa wastani
Kuepusha magonjwa hasa virus
Miche mingi kuzalishwa kwa wakati mmoja

HATUA ZA KUFUATA KABLA YA KUZALISHA MICHE KWA NJIA YA VIKONYO
1. Kuzalisha miche ya kubebeshea vikonyo kutokana na mbegu
2. Kubebesha vikonyo kwenye miche. Vifaa vinavyohitajika ni mifuko ya plastiki yenye kipenyo cha 5 -6 na urefu wa 5-6, udongo safi usio na magonjwa hasa wa msituni, samadi, mchanga/pumba za mchele kwa uwiano wa 3;1;1, mbolea ya TSP
3. Andaa kitalu sehemu wazi na tengeneza kichanja ili kuzuia jua na mvua
4. Changanya udongo na jaza kwenye viliba
5. Panda mbegu kwenye viliba
6. Uwagilia maji
7. Baada ya wiki 2-3 mbegu zitaanza kuota
8. Tunza miche hadi kufikia umri wa kubebeshwa miezi 3-4 au unene wa penseli. ZINGATIA ukuaji wa miche hutegemea hali ya hewa

JINSI YA KUBEBESHA VIKONYO
Ni muhimu kuchagua tawi zuri kwenye mti uliokomaa na kuzaa matunda ili kuharakisha kukomaana kuzaa matunda kwa mti uliobebeshwa, usichsgue kikonyo chenye maua, kikonyo kikianza kuchipua hakifai kwa kubebesha kwa sababu ni kichanga.
miche inayobebeshwa itoke kwenye jamii moja
  • Urefu wa kikonyo uwe sm 15-20 na chonga kikonyo bapa sm 2-3
  • Mche wa kubebeshea kikonyo ukatwe juu kwenye shina sm 20-25kutoka usawa wa udongo na kata kipenyo cha sm 2-3
  • Urefu wa kikonyo ulingane na urefu wa bapa la kikonyo
  • Sehemu ya mmea yenye mirija ya kupitisha chakula na maji zihakikishwe zinaungana
  • Fungia vizuri kikonyo kwenye shina na mkanda [strip] wa nailoni nyeupe. Tendo hili lifanyike kwenye mazingirea safina haraka ili utomvu kwenye bapa na kipenyo usikauke
  • Funika mche na mfuko wa nailoni nyeupe inayopitisha mwanga mradi isiwe nyeusi
Baada ya wiki 2-3 vikonyo vilivyopona vitaanza kuchipua. Tunza miche ya kitaluni kwa kumwagilia maji na kuondoa machipukizi'

UCHIMBAJI WA MASHIMO
Pima nafasi za kupanda ambazo ni 6m kwa 5m, 6m kwa 6m au 6m kwa 8m. Tenganisha udongo wa wa chini na wa juu. Changanya udongo wa juu na samadi. Rudisha udongon wa juu kwenye shimo. Weka kijiti katikati ya shimo. Rudisha udongo wa chini. Panda miche wakati wa masika. Chagua miche yenye afya nzuri. Fungua mikanda ya nailoni iliyounganisha shimo nsa kikonyo wiki 2-3 baada ya kupanda mche

SHUGHULI NYINGINE MUHIMU NI:
Palizi, kumwagilia maji, kuondoa machipukizi na kuzuia magonjwa na wadudu

MAVUNO YA PARACHICHI NA FAIDA YAKE
Mche mmoja wa parachichi aina ya HASS huanza kwa kutoa kg 40 mpaka kg 60 kwa mavuno yake kwa msimu wa kwanza. Bei ya soko kwa sasa KAMPUNI YA AGRIWORTH TANZANIA tununua kutoka kwa mkulima shambani tsh 1500 KWA KG 1. Hivyo 1500 zidisha kwa kg 40 =60000 kwa mche mmoja kwa kadirio la chini

Ekari moja hupandwa miche 70. MICHE 70 zidisha kwa 60000= 4200000.
Soko la parachini ni kubwa sana duniani kwa sasa.

Miche hii hudumu zaidi ya miaka 50 ya mavuno yake shambani

KWA MAHITAJI YA SHAMBA ZA KILIMO CHA PARACHICHI MKOA WA NJOMBE
Bei ya shamba ni tsh 150,000= kwa ekari moja mkoano Njombe. Ofisi zetu zipo mkoani Njombe. Pia tunatoa huduma ya usimamizi wa shamba mpaka kipindi cha mavuno kwa walio tayari kusimamiwa shughuli zao na kampuni
haya mambo ni kama ufugaji wa kware na sungura.....aliyetangulia ndio anatafuta soko la kuwaingiza na kuwa dalali...aikwambie mtu parachichi soko ni gumu waulize watu wa rombo na pale mwika alafu nenda kagera pale bukoba wanayatupa kwa kukosa soko gunia ni tsh 25k..hayo ya kuexport kuna vigezo vya kutosha ..mfano tu china wanataka frozen..yaaani uligandishe....ni uwekezaji mkubwa ambao wengi wetu tutashindwa..ila waweke wazi kuuza kitu nje hasa ulaya ni kazi..
 
Pale mkundi Morogoro nna viekari vyangu.vyangu.

Ngoja niweke miche ya Matunda

Baada ya miaka mitano mbele
Mitano tena
Miaka mitano

Tuseme Isha Allah
 
Habari ya majukumu wakuu. Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.

Maparachichi ni matunda bustanini na mashambani. Maparachichi yana matumizi mengi yenye faida kubwa kwa wakulima na wadau wengine.

Maparachichi ni chakula chenye viini lishe bora kama vitamini {A, B2, C, D, E, K} na madini {P, K,Mn, S} ambavyolinda mwili , mafuta kwa wingi asilimia 5 mpaka 30ambayo huleta joto mwilini, protin asilimia 1 mpaka 5ambayo hujenga mwili na kiasi cha colories 250 ambayo huleta nguvu mwilini.

Tofauti na matunda mengine, maparachichi ni malighafi ya viwandani kutengenezea madawa ya ngozi pamoja na vipodozi mfano mafuta ya nywele, shampoo na sabuni. Vilevile majani yake na mbegu hutumika kama dawa.

Aina bora za parachichi ambazo zimefanyiwa utafditi na kukubalika kwa wakulima na walaji ni pamoja na HASS, FUERTE, WEISAL IKULU, MWAIKOKESYA, EX TENGERU NA NABALI. Aina hizi zinazaa matunda mengi na bora pia huchukua muda mfupi kukomaa . kiasi chs matunda kwa mti ni klati ya 300 hadi 800 kutegemeana na matunda

Njia bora ya kuzalisha miche ya maparachichini kwa njia ya vikonyo. Faida zinazotokaana na njia hii ni

Miti kuchukua muda mfupi kukomaa na kuzaa matunda {miaka 3}
Miti huwa na umbo na urefu wa wastani
Kuepusha magonjwa hasa virus
Miche mingi kuzalishwa kwa wakati mmoja

HATUA ZA KUFUATA KABLA YA KUZALISHA MICHE KWA NJIA YA VIKONYO
1. Kuzalisha miche ya kubebeshea vikonyo kutokana na mbegu
2. Kubebesha vikonyo kwenye miche. Vifaa vinavyohitajika ni mifuko ya plastiki yenye kipenyo cha 5 -6 na urefu wa 5-6, udongo safi usio na magonjwa hasa wa msituni, samadi, mchanga/pumba za mchele kwa uwiano wa 3;1;1, mbolea ya TSP
3. Andaa kitalu sehemu wazi na tengeneza kichanja ili kuzuia jua na mvua
4. Changanya udongo na jaza kwenye viliba
5. Panda mbegu kwenye viliba
6. Uwagilia maji
7. Baada ya wiki 2-3 mbegu zitaanza kuota
8. Tunza miche hadi kufikia umri wa kubebeshwa miezi 3-4 au unene wa penseli. ZINGATIA ukuaji wa miche hutegemea hali ya hewa

JINSI YA KUBEBESHA VIKONYO
Ni muhimu kuchagua tawi zuri kwenye mti uliokomaa na kuzaa matunda ili kuharakisha kukomaana kuzaa matunda kwa mti uliobebeshwa, usichsgue kikonyo chenye maua, kikonyo kikianza kuchipua hakifai kwa kubebesha kwa sababu ni kichanga.
miche inayobebeshwa itoke kwenye jamii moja
  • Urefu wa kikonyo uwe sm 15-20 na chonga kikonyo bapa sm 2-3
  • Mche wa kubebeshea kikonyo ukatwe juu kwenye shina sm 20-25kutoka usawa wa udongo na kata kipenyo cha sm 2-3
  • Urefu wa kikonyo ulingane na urefu wa bapa la kikonyo
  • Sehemu ya mmea yenye mirija ya kupitisha chakula na maji zihakikishwe zinaungana
  • Fungia vizuri kikonyo kwenye shina na mkanda [strip] wa nailoni nyeupe. Tendo hili lifanyike kwenye mazingirea safina haraka ili utomvu kwenye bapa na kipenyo usikauke
  • Funika mche na mfuko wa nailoni nyeupe inayopitisha mwanga mradi isiwe nyeusi
Baada ya wiki 2-3 vikonyo vilivyopona vitaanza kuchipua. Tunza miche ya kitaluni kwa kumwagilia maji na kuondoa machipukizi'

UCHIMBAJI WA MASHIMO
Pima nafasi za kupanda ambazo ni 6m kwa 5m, 6m kwa 6m au 6m kwa 8m. Tenganisha udongo wa wa chini na wa juu. Changanya udongo wa juu na samadi. Rudisha udongon wa juu kwenye shimo. Weka kijiti katikati ya shimo. Rudisha udongo wa chini. Panda miche wakati wa masika. Chagua miche yenye afya nzuri. Fungua mikanda ya nailoni iliyounganisha shimo nsa kikonyo wiki 2-3 baada ya kupanda mche

SHUGHULI NYINGINE MUHIMU NI:
Palizi, kumwagilia maji, kuondoa machipukizi na kuzuia magonjwa na wadudu

MAVUNO YA PARACHICHI NA FAIDA YAKE
Mche mmoja wa parachichi aina ya HASS huanza kwa kutoa kg 40 mpaka kg 60 kwa mavuno yake kwa msimu wa kwanza. Bei ya soko kwa sasa KAMPUNI YA AGRIWORTH TANZANIA tununua kutoka kwa mkulima shambani tsh 1500 KWA KG 1. Hivyo 1500 zidisha kwa kg 40 =60000 kwa mche mmoja kwa kadirio la chini

Ekari moja hupandwa miche 70. MICHE 70 zidisha kwa 60000= 4200000.
Soko la parachini ni kubwa sana duniani kwa sasa.

Miche hii hudumu zaidi ya miaka 50 ya mavuno yake shambani

KWA MAHITAJI YA SHAMBA ZA KILIMO CHA PARACHICHI MKOA WA NJOMBE
Bei ya shamba ni tsh 150,000= kwa ekari moja mkoano Njombe. Ofisi zetu zipo mkoani Njombe. Pia tunatoa huduma ya usimamizi wa shamba mpaka kipindi cha mavuno kwa walio tayari kusimamiwa shughuli zao na kampuni
Mkuu unaweza kutoa elimu ya matumizi ya mbolea.

Mi niko karibia na njombe na kutumia samadi nimeshindwa aisee.
Samadi ni bei na kupatikana kwake mtihani.

NAHITAJI ELIMU NA RATIBA YA KUWEKA MBOLEA ZA DUKANI...

#YNWA
 
Habari ya majukumu wakuu. Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.

Maparachichi ni matunda bustanini na mashambani. Maparachichi yana matumizi mengi yenye faida kubwa kwa wakulima na wadau wengine.

Maparachichi ni chakula chenye viini lishe bora kama vitamini {A, B2, C, D, E, K} na madini {P, K,Mn, S} ambavyolinda mwili , mafuta kwa wingi asilimia 5 mpaka 30ambayo huleta joto mwilini, protin asilimia 1 mpaka 5ambayo hujenga mwili na kiasi cha colories 250 ambayo huleta nguvu mwilini.

Tofauti na matunda mengine, maparachichi ni malighafi ya viwandani kutengenezea madawa ya ngozi pamoja na vipodozi mfano mafuta ya nywele, shampoo na sabuni. Vilevile majani yake na mbegu hutumika kama dawa.

Aina bora za parachichi ambazo zimefanyiwa utafditi na kukubalika kwa wakulima na walaji ni pamoja na HASS, FUERTE, WEISAL IKULU, MWAIKOKESYA, EX TENGERU NA NABALI. Aina hizi zinazaa matunda mengi na bora pia huchukua muda mfupi kukomaa . kiasi chs matunda kwa mti ni klati ya 300 hadi 800 kutegemeana na matunda

Njia bora ya kuzalisha miche ya maparachichini kwa njia ya vikonyo. Faida zinazotokaana na njia hii ni

Miti kuchukua muda mfupi kukomaa na kuzaa matunda {miaka 3}
Miti huwa na umbo na urefu wa wastani
Kuepusha magonjwa hasa virus
Miche mingi kuzalishwa kwa wakati mmoja

HATUA ZA KUFUATA KABLA YA KUZALISHA MICHE KWA NJIA YA VIKONYO
1. Kuzalisha miche ya kubebeshea vikonyo kutokana na mbegu
2. Kubebesha vikonyo kwenye miche. Vifaa vinavyohitajika ni mifuko ya plastiki yenye kipenyo cha 5 -6 na urefu wa 5-6, udongo safi usio na magonjwa hasa wa msituni, samadi, mchanga/pumba za mchele kwa uwiano wa 3;1;1, mbolea ya TSP
3. Andaa kitalu sehemu wazi na tengeneza kichanja ili kuzuia jua na mvua
4. Changanya udongo na jaza kwenye viliba
5. Panda mbegu kwenye viliba
6. Uwagilia maji
7. Baada ya wiki 2-3 mbegu zitaanza kuota
8. Tunza miche hadi kufikia umri wa kubebeshwa miezi 3-4 au unene wa penseli. ZINGATIA ukuaji wa miche hutegemea hali ya hewa

JINSI YA KUBEBESHA VIKONYO
Ni muhimu kuchagua tawi zuri kwenye mti uliokomaa na kuzaa matunda ili kuharakisha kukomaana kuzaa matunda kwa mti uliobebeshwa, usichsgue kikonyo chenye maua, kikonyo kikianza kuchipua hakifai kwa kubebesha kwa sababu ni kichanga.
miche inayobebeshwa itoke kwenye jamii moja
  • Urefu wa kikonyo uwe sm 15-20 na chonga kikonyo bapa sm 2-3
  • Mche wa kubebeshea kikonyo ukatwe juu kwenye shina sm 20-25kutoka usawa wa udongo na kata kipenyo cha sm 2-3
  • Urefu wa kikonyo ulingane na urefu wa bapa la kikonyo
  • Sehemu ya mmea yenye mirija ya kupitisha chakula na maji zihakikishwe zinaungana
  • Fungia vizuri kikonyo kwenye shina na mkanda [strip] wa nailoni nyeupe. Tendo hili lifanyike kwenye mazingirea safina haraka ili utomvu kwenye bapa na kipenyo usikauke
  • Funika mche na mfuko wa nailoni nyeupe inayopitisha mwanga mradi isiwe nyeusi
Baada ya wiki 2-3 vikonyo vilivyopona vitaanza kuchipua. Tunza miche ya kitaluni kwa kumwagilia maji na kuondoa machipukizi'

UCHIMBAJI WA MASHIMO
Pima nafasi za kupanda ambazo ni 6m kwa 5m, 6m kwa 6m au 6m kwa 8m. Tenganisha udongo wa wa chini na wa juu. Changanya udongo wa juu na samadi. Rudisha udongon wa juu kwenye shimo. Weka kijiti katikati ya shimo. Rudisha udongo wa chini. Panda miche wakati wa masika. Chagua miche yenye afya nzuri. Fungua mikanda ya nailoni iliyounganisha shimo nsa kikonyo wiki 2-3 baada ya kupanda mche

SHUGHULI NYINGINE MUHIMU NI:
Palizi, kumwagilia maji, kuondoa machipukizi na kuzuia magonjwa na wadudu

MAVUNO YA PARACHICHI NA FAIDA YAKE
Mche mmoja wa parachichi aina ya HASS huanza kwa kutoa kg 40 mpaka kg 60 kwa mavuno yake kwa msimu wa kwanza. Bei ya soko kwa sasa KAMPUNI YA AGRIWORTH TANZANIA tununua kutoka kwa mkulima shambani tsh 1500 KWA KG 1. Hivyo 1500 zidisha kwa kg 40 =60000 kwa mche mmoja kwa kadirio la chini

Ekari moja hupandwa miche 70. MICHE 70 zidisha kwa 60000= 4200000.
Soko la parachini ni kubwa sana duniani kwa sasa.

Miche hii hudumu zaidi ya miaka 50 ya mavuno yake shambani

KWA MAHITAJI YA SHAMBA ZA KILIMO CHA PARACHICHI MKOA WA NJOMBE
Bei ya shamba ni tsh 150,000= kwa ekari moja mkoano Njombe. Ofisi zetu zipo mkoani Njombe. Pia tunatoa huduma ya usimamizi wa shamba mpaka kipindi cha mavuno kwa walio tayari kusimamiwa shughuli zao na kampuni
mkuu nimepiga 0763119916 sasa hivi inasema huduma katika namba hii imezuiliwa kwa muda...nakupataje?
 
Kwa Hiyo mtu akilima Songwe, Rukwa au Mbeya lazima alete njombe? Kwa nini usitaje makampuni yanayonunua mikoa mingine Kama lengo ni kuwasaidia watanzania?
Hizo parachichi zikitoa maua Kuna dawa yoyote kuzuia yasipukutike?
 
Unawekeza 1.5M unakuja kupata 42M within 3yrs au sio?
Hahaaa Naipenda Tanzania kupata na kupatwa ni chaguo lako mwenyewe
 
Habari ya majukumu wakuu. Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.

Maparachichi ni matunda bustanini na mashambani. Maparachichi yana matumizi mengi yenye faida kubwa kwa wakulima na wadau wengine.

Maparachichi ni chakula chenye viini lishe bora kama vitamini {A, B2, C, D, E, K} na madini {P, K,Mn, S} ambavyolinda mwili , mafuta kwa wingi asilimia 5 mpaka 30ambayo huleta joto mwilini, protin asilimia 1 mpaka 5ambayo hujenga mwili na kiasi cha colories 250 ambayo huleta nguvu mwilini.

Tofauti na matunda mengine, maparachichi ni malighafi ya viwandani kutengenezea madawa ya ngozi pamoja na vipodozi mfano mafuta ya nywele, shampoo na sabuni. Vilevile majani yake na mbegu hutumika kama dawa.

Aina bora za parachichi ambazo zimefanyiwa utafditi na kukubalika kwa wakulima na walaji ni pamoja na HASS, FUERTE, WEISAL IKULU, MWAIKOKESYA, EX TENGERU NA NABALI. Aina hizi zinazaa matunda mengi na bora pia huchukua muda mfupi kukomaa . kiasi chs matunda kwa mti ni klati ya 300 hadi 800 kutegemeana na matunda

Njia bora ya kuzalisha miche ya maparachichini kwa njia ya vikonyo. Faida zinazotokaana na njia hii ni

Miti kuchukua muda mfupi kukomaa na kuzaa matunda {miaka 3}
Miti huwa na umbo na urefu wa wastani
Kuepusha magonjwa hasa virus
Miche mingi kuzalishwa kwa wakati mmoja

HATUA ZA KUFUATA KABLA YA KUZALISHA MICHE KWA NJIA YA VIKONYO
1. Kuzalisha miche ya kubebeshea vikonyo kutokana na mbegu
2. Kubebesha vikonyo kwenye miche. Vifaa vinavyohitajika ni mifuko ya plastiki yenye kipenyo cha 5 -6 na urefu wa 5-6, udongo safi usio na magonjwa hasa wa msituni, samadi, mchanga/pumba za mchele kwa uwiano wa 3;1;1, mbolea ya TSP
3. Andaa kitalu sehemu wazi na tengeneza kichanja ili kuzuia jua na mvua
4. Changanya udongo na jaza kwenye viliba
5. Panda mbegu kwenye viliba
6. Uwagilia maji
7. Baada ya wiki 2-3 mbegu zitaanza kuota
8. Tunza miche hadi kufikia umri wa kubebeshwa miezi 3-4 au unene wa penseli. ZINGATIA ukuaji wa miche hutegemea hali ya hewa

JINSI YA KUBEBESHA VIKONYO
Ni muhimu kuchagua tawi zuri kwenye mti uliokomaa na kuzaa matunda ili kuharakisha kukomaana kuzaa matunda kwa mti uliobebeshwa, usichsgue kikonyo chenye maua, kikonyo kikianza kuchipua hakifai kwa kubebesha kwa sababu ni kichanga.
miche inayobebeshwa itoke kwenye jamii moja
  • Urefu wa kikonyo uwe sm 15-20 na chonga kikonyo bapa sm 2-3
  • Mche wa kubebeshea kikonyo ukatwe juu kwenye shina sm 20-25kutoka usawa wa udongo na kata kipenyo cha sm 2-3
  • Urefu wa kikonyo ulingane na urefu wa bapa la kikonyo
  • Sehemu ya mmea yenye mirija ya kupitisha chakula na maji zihakikishwe zinaungana
  • Fungia vizuri kikonyo kwenye shina na mkanda [strip] wa nailoni nyeupe. Tendo hili lifanyike kwenye mazingirea safina haraka ili utomvu kwenye bapa na kipenyo usikauke
  • Funika mche na mfuko wa nailoni nyeupe inayopitisha mwanga mradi isiwe nyeusi
Baada ya wiki 2-3 vikonyo vilivyopona vitaanza kuchipua. Tunza miche ya kitaluni kwa kumwagilia maji na kuondoa machipukizi'

UCHIMBAJI WA MASHIMO
Pima nafasi za kupanda ambazo ni 6m kwa 5m, 6m kwa 6m au 6m kwa 8m. Tenganisha udongo wa wa chini na wa juu. Changanya udongo wa juu na samadi. Rudisha udongon wa juu kwenye shimo. Weka kijiti katikati ya shimo. Rudisha udongo wa chini. Panda miche wakati wa masika. Chagua miche yenye afya nzuri. Fungua mikanda ya nailoni iliyounganisha shimo nsa kikonyo wiki 2-3 baada ya kupanda mche

SHUGHULI NYINGINE MUHIMU NI:
Palizi, kumwagilia maji, kuondoa machipukizi na kuzuia magonjwa na wadudu

MAVUNO YA PARACHICHI NA FAIDA YAKE
Mche mmoja wa parachichi aina ya HASS huanza kwa kutoa kg 40 mpaka kg 60 kwa mavuno yake kwa msimu wa kwanza. Bei ya soko kwa sasa KAMPUNI YA AGRIWORTH TANZANIA tununua kutoka kwa mkulima shambani tsh 1500 KWA KG 1. Hivyo 1500 zidisha kwa kg 40 =60000 kwa mche mmoja kwa kadirio la chini

Ekari moja hupandwa miche 70. MICHE 70 zidisha kwa 60000= 4200000.
Soko la parachini ni kubwa sana duniani kwa sasa.

Miche hii hudumu zaidi ya miaka 50 ya mavuno yake shambani

KWA MAHITAJI YA SHAMBA ZA KILIMO CHA PARACHICHI MKOA WA NJOMBEBei ya shamba ni tsh 150,000= kwa ekari moja mkoano Njombe. Ofisi zetu zipo mkoani Njombe. Pia tunatoa huduma ya usimamizi wa shamba mpaka kipindi cha mavuno kwa walio tayari kusimamiwa shughuli zao na kampuni
Ahsante kwa taarifa mkuu. Tutakuja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom