Fahamu utajiri wa kudumu uliojificha kwenye zao la Parachichi Mkoani Njombe

Binafsi natokea njombe, mtoa mada yupo sahihi kule habr ya mjini ni kilimo cha parachichi.

Kuna wale wanao adopt mapema na kuanza kupanda, kuna wanaosubir matokeo waone kwanza ndio waingia kupanda na kuna wale rigid/late adopt, hawa mpaka miaka mingi sana ipite ndo wakubar.

Swali langu, kampuni mnanunua na kusafirisha nje za nchi au mnamiliki kiwanda mnachakata (process) nyinyi wenyewe hapa hapa bongo?
 
Binafsi natokea njombe, mtoa mada yupo sahihi kule habr ya mjini ni kilimo cha parachichi.

Kuna wale wanao adopt mapema na kuanza kupanda, kuna wanaosubir matokeo waone kwanza ndio waingia kupanda na kuna wale rigid/late adopt, hawa mpaka miaka mingi sana ipite ndo wakubar.

Swali langu, kampuni mnanunua na kusafirisha nje za nchi au mnamiliki kiwanda mnachakata (process) nyinyi wenyewe hapa hapa bongo????
Mi sio msemaji wa kiwanda ila nadhani hizo parachichi ni kwa ajili ya kula si raw material kwa hiyo huwezi kuchakata parachichi ,i stand to be corrected
 
Mi sio msemaji wa kiwanda ila nadhani hizo parachichi ni kwa ajili ya kula si raw material kwa hiyo huwezi kuchakata parachichi ,i stand to be corrected
Kabla ilisemekana wanajenga viwanda zaid ya 3 mkoa wa Njombe, sasa sijajua na hili kampuni ndo wahusika.

Ngoja aje tumsikilize.!
 
Je kama mtanisimamia shamba, kutakuwa na makubaliano yoyote ya kisheria
Nimeuliza hili kwani wengi wameshaumizwa saana
Mkuu @ Prodigal Son. Ndio makubaliano ya kisheria Yapo. Mara baada ya kupata shamba na kuridhia utaingia mkataba wa usimamizi na kampuni ya Agriworth Tanzania. Karibu tukuhudumie mkuu
 
Binafsi natokea njombe, mtoa mada yupo sahihi kule habr ya mjini ni kilimo cha parachichi.

Kuna wale wanao adopt mapema na kuanza kupanda, kuna wanaosubir matokeo waone kwanza ndio waingia kupanda na kuna wale rigid/late adopt, hawa mpaka miaka mingi sana ipite ndo wakubar.

Swali langu, kampuni mnanunua na kusafirisha nje za nchi au mnamiliki kiwanda mnachakata (process) nyinyi wenyewe hapa hapa bongo????
Ahsante mkuu Trinity kwa ufafanuzi na swali lako pia. Kwa Sasa kampuni ya Agriworth Tanzania tunajihusisha na ununuzi na usafirishaji wa zao la Parachichi nje ya nchi. Karibu sana ofisini kwetu kata ya Lupembe, mkoa wa Njombe tukuhudumie
 
Ahsante mkuu Trinity kwa ufafanuzi na swali lako pia. Kwa Sasa kampuni ya Agriworth Tanzania tunajihusisha na ununuzi na usafirishaji wa zao la Parachichi nje ya nchi. Karibu sana ofisini kwetu kata ya Lupembe, mkoa wa Njombe tukuhudumie
Tupo pamoja, huko ni kwetu. Tunaendelea kkusanya mtaji ili tukiingia shambn tupindue meza yote.
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Aisee mkulima wa Tanzania kunufaika na jasho lake ni mpaka Yesu arudi tena ashukie Tanzania na sio nchi nyingine.
Nikiwa nchi fulani nimekuwa nikinunua hivi vitunda kwa senti 70 mpaka 1.2$, nikajiuliza kule home kina mama wanauza kwenye ndoo moja tsh3000-4000 ambapo hivi vitunda vinakaa kama 30-45.
Kwa hesabu za kawaida tu hapo hivi vitunda viwili vinanunua ndoo/debe moja na kidogo, tujaalie huyu msafirishaji katumia gharama za kuhifadhi, kutuma na ushuru na vibali bado mkulima kapigwa pakubwa mno.
Kwa Tanzania mkulima ni masikini wa kutupwa mnunuzi ni tajiri wa kutupwa.
Poleni sana wakulima, ukombozi wenu bado na taarifa za wapi mazao yenu yanapelekwa hamtazipata mpaka siku mtakapoamua kuamka usingizini.
 
mada ni nzuri sana, naomba kufahamu gharama za kulitunza shamba mpaka mavuno ya kwanza ni be gani? pili kama ukinunua shamba kuanzia ekari 10 hakuna discount? tatu kuna wengine wanasema ekari moja unaweza pata faida ya 10 m, sasa ukweli uko wapi?. NNe, umesema ekari moja unaingia miche 70, je mstari ni mita ngapi na mche na mche ni mita ngapi? ni hayo tu.
 
Aisee mkulima wa Tanzania kunufaika na jasho lake ni mpaka Yesu arudi tena ashukie Tanzania na sio nchi nyingine.
Nikiwa nchi fulani nimekuwa nikinunua hivi vitunda kwa senti 70 mpaka 1.2$, nikajiuliza kule home kina mama wanauza kwenye ndoo moja tsh3000-4000 ambapo hivi vitunda vinakaa kama 30-45.
Kwa hesabu za kawaida tu hapo hivi vitunda viwili vinanunua ndoo/debe moja na kidogo, tujaalie huyu msafirishaji katumia gharama za kuhifadhi, kutuma na ushuru na vibali bado mkulima kapigwa pakubwa mno.
Kwa Tanzania mkulima ni masikini wa kutupwa mnunuzi ni tajiri wa kutupwa.
Poleni sana wakulima, ukombozi wenu bado na taarifa za wapi mazao yenu yanapelekwa hamtazipata mpaka siku mtakapoamua kuamka usingizini.


Habari yako @ HesabuKali. Sisi Agriworth Tanzania tunachokifanya Ni kumuinua mkulima juu ya zao la parachichi aina ya Hass. Nawe pia unayo nafasi ya kusaidia sekta ya kilimo ili isonge mbele zaidi na kuinua uchumi wa mkulima na kukuza pato la taifa.
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117


Mkuu hii thread special kwa ajili ya zao la parachichi. Sasa biashara ya mahindi unakuwa unawachanganya watu juu ya kile wanachotaka kujua kuhusu zao la parachichi! Be free anzisha uzi kuhusu Huduma yako ya mahindi naamini wadau wa sekta husika watakuelewa tu.
 
Habari yako @ HesabuKali. Sisi Agriworth Tanzania tunachokifanya Ni kumuinua mkulima juu ya zao la parachichi aina ya Hass. Nawe pia unayo nafasi ya kusaidia sekta ya kilimo ili isonge mbele zaidi na kuinua uchumi wa mkulima na kukuza pato la taifa.
Mkulima mnamuinua kwa namna gani?
 
Kununua Shamba 150,000/=
Kusafisha Shamba 40,000/=
Miche 3,000x70= 210,000/=
Kupanda 2,000x70=140,000/=
Mbolea = 150,000/=

TOTAL KWA HEKA 690,000/=
Hio ni gharama ya ekar 1.ila uzuri wake una uhakika wa kila msimu kama shamba utalihudumia vizuri ikawa ni kitega uchumi cha kutosha kabisa.vijana tuwekeze pia ktk kilimo.kilimo kinalipa hususani hilo zao la parachichi
 
mada ni nzuri sana, naomba kufahamu gharama za kulitunza shamba mpaka mavuno ya kwanza ni be gani? pili kama ukinunua shamba kuanzia ekari 10 hakuna discount? tatu kuna wengine wanasema ekari moja unaweza pata faida ya 10 m, sasa ukweli uko wapi?. NNe, umesema ekari moja unaingia miche 70, je mstari ni mita ngapi na mche na mche ni mita ngapi? ni hayo tu.
Hiyo faida utaanza kuiona kuanzia mwaka wa 6 au 7 wa mavuno, wakati mche ushakomaa vizuri, unatoa mazao katika ile wanaita full capacity, per msimu unaondoka na 10m vizuri kabisa kwa heka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom