Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 3,897
- 5,354
Mna mpango gani kwa sehemu zingine kutanua masoko ,maana hiyo ardhi ya Njombe kununua ni sawa!Ikiisha je?Thanks mkuu @ casanova69 kwa swali lako. Kwa Sasa Soko lipo vizuri kutokana na mipaka ya nchi mbalimbali kufunguliwa kibiashara. Zile kampuni za nchi jirani hawakuzuiliwa kufanya biashara mkoa wa Njombe ila tatizo lilikuwa kwa wao kutaka kufanya ujanja ujanja wasilipe kodi. Mkoa wa jirani hapo Mbeya tu, kampuni hizo za nchi jirani zililipa kodi na kufanya biashara stahiki ya kusafirisha parachichi nje ya nchi.