Chukua redmi 9 isio na CNataka ninunue redmi 9C ni TZS 299,000. Vp hizi mnazionaje wadau?
Sababu hujui kutumia unapenda short cut tu ndio maanaHot Play 10.....Mkuu kila mtu na mtizamo wake kwenye kutumia ,wewe kitu usichopenda sio kwamba watu wote hawatakipenda! kwa mfano mimi iphone sizipendi kabisa.
kama harufu ya ubaguzu just kiding weye ni left handKuipenda simu haiji hivi hivi tu.
Lazima kuna vitu flan vinakuvutia.
Mie iphone hapana aiseh.
Mi napenda vitu unique
LG kibongo sio nyingi sana
Unaweza ukakaa na washkaji mahala ukawa nayo peke yako.
Nadra sana kujikuta mpo yeboyebo
kwa mfano hebu teremka kidogooNaunga mkono hoja.
Mimi kauli yangu ni ile ile tu.
Tecno ni upuuzi kama upuuzi mwingine tu
Oppo niliiona Singapore naona kama anamfikuzia samsungHakuna kujiumiza mbona mi natumia simu ya bei ndogo sana japo sio Tecno/Infnix na zipo Tecno/Infnix zenye bei zaidi yake.
Natumia Oppo A3s
hili simu unaweza tumia kuvunjia vioo vya magariTecno niliotumia nikaipenda kuna camon series kule atleast wanajitahidi...
Camon x waliua simu kali
Camon 15 ipo poa nmeiona kwa mtu
Ila hawa wakina play
Sijui go edition
Simu ina 6000 mah hii si silaha kabisa ukimbonda nayo mwizi unaua ...
Kwa mtu asiyekua na interest na simu inafaaa sana
Ila kwa wale wakina sisi ambao hatuwezi tumia simu isiyokua na kioo cha amoled....
Kwa kweli mtatusamehe
Wachina wanafanyia simu zao majaribio kwa waafrika.Hii kauli sitaacha
KgTel, Infinix, Tecno, Itel, ForMe , Leagoo, X-Tigi & Co ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Sijui tutumie lugha gani kuwaambia watu