King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,697
- 68,683
Ni kweli mkuu ,hawa majamaa wanataka wote tuchukie tecno na infinix wanashindwa kutambua uzuri wa kitu upo machoni kwa mtu mwenyewe.(Beauty is in the eyes of the beholder).Kuipenda simu haiji hivi hivi tu.
Lazima kuna vitu flan vinakuvutia.
Mie iphone hapana aiseh.
Mi napenda vitu unique
LG kibongo sio nyingi sana
Unaweza ukakaa na washkaji mahala ukawa nayo peke yako.
Nadra sana kujikuta mpo yeboyebo
Hata mimi Iphone sizipendi 100%.