Xiaomi 14 na Xiaomi 14 Pro: Mchina anaendelea kuleta competition

Reuben Challe

JF-Expert Member
Dec 10, 2021
2,761
5,039
Xiaomi-14-pro-Camera.jpg

Mwaka huu zimetoka simu nyingi sana ila Mchina kanifurahisha zaidi.
Kampuni ya Xiaomi imetoa flagship zao mpya October mwaka huu ambazo ni Xiaomi 14 na Xiaomi 14 Pro.
Xiaomi-14-Pro-will-not-be-launched-globally-1024x684.jpg

Nadhani zinastahili kuwa flagship bora zaidi kwa mwaka huu.
Xiaomi 14 Pro imefikia level ambayo inaweza kushindanishwa na iPhone 15 Pro Max na kuizidi Samsung Galaxy S23 Ultra.
Xiaomi-14-Pro-will-not-be-launched-globally-1-1024x684.jpg

Xiaomi 14 Pro inakuja na Qualcomm Snapdragon 8 Gen 3, na inafikia hadi 16GB RAM 1TB ROM, Inakuja na 1440p display, kamera ya mbele sasa inaweza kurekodi video za 4K@60fps na pia inakuja na USB Type C 3.2
Screenshot_2023-12-20-11-03-39-333_com.google.android.youtube.jpg

Kitu kingine chema ni kwamba Xiaomi 14 na 14 Pro sasahivi hazijaja na software ya MIUI, Sasahivi ziatumia software mpya ya Xiaomi inayoitwa "Xiaomi HyperOS"
Screenshot_2023-12-20-11-06-26-670_com.google.android.youtube.jpg

Xiaomi HyperOS inafanana na MIUI kimwonekano ila wamebadilisha mwonekano kidogo sana. Xiaomi HyperOS iko more optimised kushinda MIUI 14 na imekuwa very stable kuliko MIUI ilivyokuwa hapo awali mpaka baadhi ya phone reviewers wameshangaa
MIUI-China-bloatware-1024x576.jpg

Screenshot_2023-12-20-11-05-27-140_com.google.android.youtube.jpg

Kwenye upande wa kamera Xiaomi anaendelea kushirikiana na Mjerumani "LEICA" na kamera ya Xiaomi 14 Pro imekuwa very improved, kama ulifuatilia vizuri kamera ya nyuma ya Xiaomi 13 Ultra ilikuwa ni nzuri kushinda iPhone 14 Pro Max. Sasahivi kamera ya nyuma ya Xiaomi 14 Pro iko vizuri kiasi cha kushindana na iPhone 15 Pro Max
Screenshot_2023-12-20-11-07-53-389_com.google.android.youtube.jpg

Kwa sasa hii simu ipo official kwa China tu ila Global version inaweza kuachiwa February 2024. Nadhani na Samsung Galaxy S24 Ultra itaachiwa kipindi hichohicho
Screenshot_2023-12-20-11-04-53-212_com.google.android.youtube.jpg

Nchini China, Xiaomi 14 na 14 Pro zilipoachiwa tu, waliuza takribani simu milioni 1.45 (Xiaomi 14 series) ndani ya siku 10 tu na kufanya Xiaomi 14 series kuongoza kwa mauzo nchini China katika wiki ya 44 ya mauzo ya simu huku Huawei na Honor ndio wanafuatia.
Screenshot_2023-12-20-11-30-08-450_com.google.android.youtube.jpg

Xiaomi 14 Pro version ya 16GB RAM 1TB ROM imetengenezwa na titanium kwa nje kama tu iPhone 15 Pro Max. Mfano angalia hii picha, hiyo ya kushoto ni Xiaomi 14 Pro (titanium) na kulia ni iPhone 15 Pro Max. Zote ni titanium
Screenshot_2023-12-20-11-30-29-774_com.google.android.youtube.jpg

Kadri siku zinavyoenda Mchina anazidi kuionesha dunia kuwa na yeye anaweza
 
View attachment 2847909
Mwaka huu zimetoka simu nyingi sana ila Mchina kanifurahisha zaidi.
Kampuni ya Xiaomi imetoa flagship zao mpya October mwaka huu ambazo ni Xiaomi 14 na Xiaomi 14 Pro.View attachment 2847911
Nadhani zinastahili kuwa flagship bora zaidi kwa mwaka huu.
Xiaomi 14 Pro imefikia level ambayo inaweza kushindanishwa na iPhone 15 Pro Max na kuizidi Samsung Galaxy S23 Ultra.View attachment 2847913
Xiaomi 14 Pro inakuja na Qualcomm Snapdragon 8 Gen 3, na inafikia hadi 16GB RAM 1TB ROM, Inakuja na 1440p display, kamera ya mbele sasa inaweza kurekodi video za 4K@60fps na pia inakuja na USB Type C 3.2View attachment 2847916
Kitu kingine chema ni kwamba Xiaomi 14 na 14 Pro sasahivi hazijaja na software ya MIUI, Sasahivi ziatumia software mpya ya Xiaomi inayoitwa "Xiaomi HyperOS"View attachment 2847917
Xiaomi HyperOS inafanana na MIUI kimwonekano ila wamebadilisha mwonekano kidogo sana. Xiaomi HyperOS iko more optimised kushinda MIUI 14 na imekuwa very stable kuliko MIUI ilivyokuwa hapo awali mpaka baadhi ya phone reviewers wameshangaaView attachment 2847915
View attachment 2847920
Kwenye upande wa kamera Xiaomi anaendelea kushirikiana na Mjerumani "LEICA" na kamera ya Xiaomi 14 Pro imekuwa very improved, kama ulifuatilia vizuri kamera ya nyuma ya Xiaomi 13 Ultra ilikuwa ni nzuri kushinda iPhone 14 Pro Max. Sasahivi kamera ya nyuma ya Xiaomi 14 Pro iko vizuri kiasi cha kushindana na iPhone 15 Pro Max View attachment 2847921
Kwa sasa hii simu ipo official kwa China tu ila Global version inaweza kuachiwa February 2024. Nadhani na Samsung Galaxy S24 Ultra itaachiwa kipindi hichohichoView attachment 2847922
Nchini China, Xiaomi 14 na 14 Pro zilipoachiwa tu, waliuza takribani simu milioni 1.45 (Xiaomi 14 series) ndani ya siku 10 tu na kufanya Xiaomi 14 series kuongoza kwa mauzo nchini China katika wiki ya 44 ya mauzo ya simu huku Huawei na Honor ndio wanafuatia.View attachment 2847929
Xiaomi 14 Pro version ya 16GB RAM 1TB ROM imetengenezwa na titanium kwa nje kama tu iPhone 15 Pro Max. Mfano angalia hii picha, hiyo ya kushoto ni Xiaomi 14 Pro (titanium) na kulia ni iPhone 15 Pro Max. Zote ni titaniumView attachment 2847930
Kadri siku zinavyoenda Mchina anazidi kuionesha dunia kuwa na yeye anaweza
Hawa jamaa hawapo creative, UI za OS zao wanaiga iPhone, watengeneze vyao viwateke users sio kucopy
 
Hawa jamaa hawapo creative, UI za OS zao wanaiga iPhone, watengeneze vyao viwateke users sio kucopy
Creativity? Kwa sasa Xiaomi ni very creative kuliko hizo iPhone unazosemea. Kucopy design ya iOS sio issue hata Huawei, Honor na wenzake wamefanya
Xiaomi ni creative kwa sababu software yake ina features nyingi kushinda iOS na tunaona wanaendelea kuongeza features nyingi mpya kila mwaka

Xiaomi ana design nyingi sana tofauti sio kama Apple ambao wamestick kwenye design za kufanana-fanana tangu 2019 hadi leo, macho matatu yaleyale. Xiaomi anabadili design kila mwaka.

Creativity nyingine ninayoijua ni kwamba kwenye Xiaomi 12S Ultra unaweza kuweka lens za camera ya LEICA juu ya camera bump yake kama hivi. Ona hapa
images%20(8).jpg

Unasemaje kuhusu photography kit kwenye Xiaomi 13 Ultra?
images%20(9).jpg
xiaomi-13-ultra-camera-kit.jpg

Vipi kuhusu Xiaomi Hyper charging technology?

Xiaomi kwenye upande wa simu ni very creative kushinda hata Apple
 
Creativity? Kwa sasa Xiaomi ni very creative kuliko hizo iPhone unazosemea. Kucopy design ya iOS sio issue hata Huawei, Honor na wenzake wamefanya
Xiaomi ni creative kwa sababu software yake ina features nyingi kushinda iOS na tunaona wanaendelea kuongeza features nyingi mpya kila mwaka

Xiaomi ana design nyingi sana tofauti sio kama Apple ambao wamestick kwenye design za kufanana-fanana tangu 2019 hadi leo, macho matatu yaleyale. Xiaomi anabadili design kila mwaka.

Creativity nyingine ninayoijua ni kwamba kwenye Xiaomi 12S Ultra unaweza kuweka lens za camera ya LEICA juu ya camera bump yake kama hivi. Ona hapaView attachment 2848263
Unasemaje kuhusu photography kit kwenye Xiaomi 13 Ultra?View attachment 2848264View attachment 2848265
Vipi kuhusu Xiaomi Hyper charging technology?

Xiaomi kwenye upande wa simu ni very creative kushinda hata Apple
Maneno meeengi lkn unaongelea nje ya hoja. Mm nasemea UI (User Interface) ww unaniletea camera.

Xiomi User Interface wamekopi purely kutoka ios, kwa nn wasije na concept yao tofauti ambayo itavutia users.

Sikatai jamaa wanatia kazi, lkn pia kubali ni ma-copycats
 
Maneno meeengi lkn unaongelea nje ya hoja. Mm nasemea UI (User Interface) ww unaniletea camera.

Xiomi User Interface wamekopi purely kutoka ios, kwa nn wasije na concept yao tofauti ambayo itavutia users.

Sikatai jamaa wanatia kazi, lkn pia kubali ni ma-copycats
Being specific to UI wamecopy design tu kwa Apple.
Mwanzo umesema hawa jamaa sio creative kwa sababu wamecopy UI kwa Apple. Sasa hiyo sababu moja ndio ifanye useme Xiaomi sio "CREATIVE"?
Usishangae kuona nimegusia mpaka kamera, jinsi ulivyoexpress opinion yako ndio imefanya nifike huko

Kacopy mwonekano wa interface tu, ila ukianza kuingia deep kwenye MIUI au HyperOS utagundua hiyo UI haifanani kabisa na iOS. Macho yasikudanganye
 
Hawa jamaa hawapo creative, UI za OS zao wanaiga iPhone, watengeneze vyao viwateke users sio kucopy
Mchina hayupo kushindana kwenye ulimwengu wa tech ila yupo kupiga hela tu.
Yupo radhi atumie OS ya android miaka 3000 ili apige hela tu lkn hayupo radhi atengeneze OS yake maana anajua hakuna kazi ngumu kutengeneza OS maana unaweza kuua kampuni.
Wachina wapo radhi waige features kwa Apple au Nokia ili wapige hela ila siyo kutengeneza vitu vyao vitakavyowatambulisho ndiyo maana simu ya iPhone ipo mpk ya kichina yenye Android OS
 
Mchina hayupo kushindana kwenye ulimwengu wa tech ila yupo kupiga hela tu.
Yupo radhi atumie OS ya android miaka 3000 ili apige hela tu lkn hayupo radhi atengeneze OS yake maana anajua hakuna kazi ngumu kutengeneza OS maana unaweza kuua kampuni.
Wachina wapo radhi waige features kwa Apple au Nokia ili wapige hela ila siyo kutengeneza vitu vyao vitakavyowatambulisho ndiyo maana simu ya iPhone ipo mpk ya kichina yenye Android OS
Features nyingi kwenye simu za China hazipo kwenye iOS
Wachina pia ni creative. Inategemea unamwongelea Mchina yupi maana Wachina wanaotengeneza simu ni wengi
 
Uzi wa saa 5 asbh mpka sahivi comment hata 10 hamna, kisa ni android..
ingekuwa ni kuhusu IOS.. hahaaa wazee wa ku overrate wangekuwa wamejaa hapa
Hahahah A lot of iSheeps in our community
Wakati Apple anatumia Lightning charger kwenye simu zake watu walikuwa hawataki kukubali kuwa Lightning USB si nzuri kama Type C. Sasahivi Apple mwenyewe ametumia Type C kwenye 15 Pro Max. Ishukuriwe EU
 
Hahahah A lot of iSheeps in our community
Wakati Apple anatumia Lightning charger kwenye simu zake watu walikuwa hawataki kukubali kuwa Lightning USB si nzuri kama Type C. Sasahivi Apple mwenyewe ametumia Type C kwenye 15 Pro Max. Ishukuriwe EU

Originaly iphone walikuwa waje na improved lighting port. Ni EU wame force tu, even though wasingebadili still watu wangenunua kama vile waliifunika huawei mate china. Dispite ya huawei mate kupigiwa chapua sana
 
Originaly iphone walikuwa waje na improved lighting port. Ni EU wame force tu, even though wasingebadili still watu wangenunua kama vile waliifunika huawei mate china. Dispite ya huawei mate kupigiwa chapua sana
Suala la watu kununua iPhone no kawaida
Kwanza kuna iSheeps ambao hata iPhone wafanye ushuzi gani, wao watanunua tu
Pili kuna wale watu wanaotaka simu yenye strongest CPU, most stable software, best ecosystem, best video quality na pia colour science ya kipekee kwenye camera za iPhones. Hawa hawana budi kununua iPhone hata kama kuna mambo yanayokera ambayo Apple wanafanya, ili kupata wanachotaka inabidi wavumilie weakness za iPhone

Pia kuna wengine watanunua iPhone kwa ajili ya show off. Kuna mengi yanafanya watu wanunue iPhone kwa hiyo si ajabu wangebaki na Lightning charger zingenunuliwa vilevile
 
Creativity? Kwa sasa Xiaomi ni very creative kuliko hizo iPhone unazosemea. Kucopy design ya iOS sio issue hata Huawei, Honor na wenzake wamefanya
Xiaomi ni creative kwa sababu software yake ina features nyingi kushinda iOS na tunaona wanaendelea kuongeza features nyingi mpya kila mwaka

Xiaomi ana design nyingi sana tofauti sio kama Apple ambao wamestick kwenye design za kufanana-fanana tangu 2019 hadi leo, macho matatu yaleyale. Xiaomi anabadili design kila mwaka.

Creativity nyingine ninayoijua ni kwamba kwenye Xiaomi 12S Ultra unaweza kuweka lens za camera ya LEICA juu ya camera bump yake kama hivi. Ona hapaView attachment 2848263
Unasemaje kuhusu photography kit kwenye Xiaomi 13 Ultra?View attachment 2848264View attachment 2848265
Vipi kuhusu Xiaomi Hyper charging technology?

Xiaomi kwenye upande wa simu ni very creative kushinda hata Apple
Apple kwenye ubunifu nampa zero
 
Features nyingi kwenye simu za China hazipo kwenye iOS
Wachina pia ni creative. Inategemea unamwongelea Mchina yupi maana Wachina wanaotengeneza simu ni wengi
Kwahiyo kuna mchina wa kijani, wa blue, mweupe? Mchina ni mchina tu
Sema hivi, wachina wamerahisisha watu wa kipato cha chini watumie bidhaa kwa bei nafuu
 
Kwahiyo kuna mchina wa kijani, wa blue, mweupe? Mchina ni mchina tu
Sema hivi, wachina wamerahisisha watu wa kipato cha chini watumie bidhaa kwa bei nafuu
I can't believe nilivyosema Wachina wanaotengeneza simu ni wengi, ukadhani namaanisha Wachina wa kijani, blue na weupe🤦
Wachina wanaotengeneza simu ni wengi ina maana kwamba kuna Xiaomi, Oppo, Vivo, Huawei, Honor, ZTE, Asus, Realme, One Plus, TECNO, Infinix nk. Wote hawa ni Wachina na ubora wa simu wanaotengeneza pia haufanani
 
Apple wako nyuma inapokuja suala la features mpya kwenye simu. Kila mwaka wqkiongeza features tatu au nne imeisha hiyo
ubunifu kwenye tech ni ghalama sana,ndio maana jamaa wana wana utajiri mkubwa sana sababu hawajihangaishi na mambo mapya,ila kurekebisha na kuboresha yaliyokwisha kuwepo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom