Exclusive interview: Online dating(uchumba-ndoa)

Exclusive interview: Online dating(uchumba-ndoa)

Wadau naona shunie kapotea.
Mamdogo kama mida za kumhudumia shemeji zimefika tunaweza kuquit na kuendelea wakati mwingine.

Samahanin wakuu tulichelewa kuanza ndiyo maana hii changamoto imejitokeza.
 
Wow, kumbe kuna watu mnapendana na mmejuana kupitia JF HONGERA japo umetuachia maswali mengi.

Maswali bado bado. Naomba univumilie kidogo.

Unahisi ni changamoto zipi kupata mpenzi kupitia mtandaoni? Zinaweza kuepukika? How
Yani weqe jamaa unamfungua ili aingiebkingi umchape
 
Wow, kumbe kuna watu mnapendana na mmejuana kupitia JF HONGERA japo umetuachia maswali mengi.

Maswali bado bado. Naomba univumilie kidogo.

Unahisi ni changamoto zipi kupata mpenzi kupitia mtandaoni? Zinaweza kuepukika? How
Changamoto za kuziepuka unajua mtu anaweza kukufata labda amekutamani tu sbbu unavutia kikubwa ni kusomana na kujua huyu mtu ni sahihi

Bamdogo punguza bas maswali makali halaf nasinzia
 
Hehee nimekua wapi mm jaman
tapatalk_1489501831591.jpg
 
Changamoto za kuziepuka unajua mtu anaweza kukufata labda amekutamani tu sbbu unavutia kikubwa ni kusomana na kujua huyu mtu ni sahihi

Bamdogo punguza bas maswali makali halaf nasinzia

Changamoto: ni kutamaniwa badala ya kupendwa
na njia: umesema ni kumsoma mtongozaji kabila ya kumkubali. That's Nice.

Kama unasinzia na kesho ni siku ya kazi nikutakie usiku mwema mamdogo naomba kesho utenge muda tumalizie wadau wanamaswali mengi saana..usiku mwemaa.
 
Changamoto ni kutamaniwa badala ya kupendwa na njia umesema ni kumsoma huyo mtu kabila ya kumkubali. Nice.

Kama unasinzia na kesho ni siku ya kazi nikutakie usiku mwema mama mdogo naomba kesho utenge muda tumalizie wadau wanamaswali mengi saana..usiku mwemaa.
sawa bamdogo usiku mwema tutaonana kesho mapema
 
Back
Top Bottom