Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,193
- Thread starter
- #121
Karibuni tumalizie interview tuliyoianza jana. Jana wadau mlizingua kwa comments zisizo za msingi zilizochangia kuivuruga interview kwa leo please and please utani tutataniana baadae na muda wa maswali ya nyongeza ukifika utaruhisiwa kuuliza ila kwasasa kuwa msomaji.
Shunie karibu kwa wakati mwingine mamdogo.
Shunie karibu kwa wakati mwingine mamdogo.
