Exclusive interview: Online dating(uchumba-ndoa)

Exclusive interview: Online dating(uchumba-ndoa)

Ok,
Turudi kwenye mada ya leo. Nadhani sio mara yako ya kwanza kusikia neno online dating hasa ikitegemea wewe ni mtumiaji mzuri wa mitandao kama JF na mengine.

Unaweza kutuambia umeielewaje mada japo kwa ufupi kabla hatujaendelea mbele ?
na vile vile kuanzisha mahusiano ambayo unaweza fika nayo mbali ki namna fulani mfno ndoa
 
Samahani asee ni maswali gani/ au ainaa gani tunapaswa kuuliza?? Je unaweza ukauliza ambalo ni la kiundani zaidi??
 
Heewaala, dunia siku hizi imejisogeza karibu saana...unaweza kufanya lolote kiganjani mwako na limojawapo ni hili la kufahamiana na watu au kuanzisha mahusiano mitandaoni.

Kwako hili suala la kuanzisha mahusiano mtandaoni ni sahihi? Yes/no. kwanini?
Siwez sema ndio au hapana kwasababu unaweza ukaaanzisha mausiano kweny mitandao na mtu ambae bdae ukafika nae mbali ki maendeleo na mkaoana na mkafanya maisha

2: naweza sema hapana kwa sababh hizi unaweza anzisha mahusiano kweny mitandao ukapata mtu ambae haelewek yan sio mkwel ni mchezeaji akakuteka akakulaghai ikafika atua mkaaachana na kutoleana maneno mabaya kweny mitandao
 
Back
Top Bottom