Exclusive interview: Online dating(uchumba-ndoa)

Exclusive interview: Online dating(uchumba-ndoa)

Siwez sema ndio au hapana kwasababu unaweza ukaaanzisha mausiano kweny mitandao na mtu ambae bdae ukafika nae mbali ki maendeleo na mkaoana na mkafanya maisha

2: naweza sema hapana kwa sababh hizi unaweza anzisha mahusiano kweny mitandao ukapata mtu ambae haelewek yan sio mkwel ni mchezeaji akakuteka akakulaghai ikafika atua mkaaachana na kutoleana maneno mabaya kweny mitandao
Naona umetoa majibu mawili kwa mpigo yes na no. Ila nilivyokuelewa usahihi wa online dating kwako utakuwa yes baada ya kuangalia uelekeo wa hayo mahusiano yaliyoanzishwa.

Swali : kwako ulishawahi kuwa na mahusiano na mtu kupitia hii njia?
 
Heewaala, dunia siku hizi imejisogeza karibu saana...unaweza kufanya lolote kiganjani mwako na limojawapo ni hili la kufahamiana na watu au kuanzisha mahusiano mitandaoni.

Kwako hili suala la kuanzisha mahusiano mtandaoni ni sahihi? Yes/no. kwanini?
Yes, coz waweza kujuana na mtu online kumbe akawa ni chaguo lako kutoka kwa Mungu. Mnaanza km utani lkn baadae hisia zinawaunganisha
 
Naona umetoa majibu mawili kwa mpigo yes na no. Ila nilivyokuelewa usahihi wa online dating kwako utakuwa yes baada ya kuangalia uelekeo wa hayo mahusiano iliyoanzisha.

Swali : kwako ulishawahi kuwa na mahusiano na mtu kupitia hii njia?
Sijawahi ila nina mifano kadhaa kupitia rafiki zangu
 
Hifadhi baada ya muda nitaruhusu bro na nyie kuuliza ila kama ni swali linalihitajika kwa sasa ni text pm.
Kumbe kuchangia bado , nalala bac ikiwa tyr Daby plz niamshe
 
Back
Top Bottom